Hii swala imekuwa changamoto,nami limenikuta kwa mtoto wa darasa la sita Mwalimu ameniambia haiwezekani chakunishauri nikwamba nikabadili jina RITA ili cheti chamtoto kiendane na jina lamtoto shuleni..mistek iliyotokea nikwamba mtototo anaitwa SUMA baba anaitwa BAHATI JUMA KINGAZI sasa shuleni aliandikwa kwa majina mawili SUMA BAHAT baadae kwene kuandika majina matatu jina latatu mtoto akawatajia jina la JUMA badala ya Jina la ukoo KINGAZI,kwaiyo shuleni anaitwa SUMA BAHAT JUMA badala ya SUMA BAHAT KINGAZI sasa kwene kulipachika jina la ukoo ndio imekuwa ishu ,tunapoelekea naona atatumia majina Manne kama anko Magu