cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hapanaa, km hajawahi fanya mtihani wa Taifa level yoyote inawezekana kubadili jina, muhimu afate taratibu za kisheria.Mkuu Necta wanakataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapanaa, km hajawahi fanya mtihani wa Taifa level yoyote inawezekana kubadili jina, muhimu afate taratibu za kisheria.Mkuu Necta wanakataa
Kwahiyo Mkuu unanipa utaratibu na mshahara wa tusi kama nyongeza sio!? Haya Mkuu nimekusoma pia asantekwani cheti cha kuzaliwa mtoto kinatolewa na nesi wa hospitali alyoyojifungulia mama au kinatolewa na RITA...ww mzazi mzembe mtoto hadi anaanza shule anafikisha miaka 9 upo tu...wakati ulikuwa na nafasi kurekebisha tangu mtoto akiwa na miezi sita..lakini mkuu bado una nafasi kurekebisha jina lake sasa hivi kabla hajafanya mtihani wa taifa wa darasa la nne maana majina yao bado hayajaingizwa kwenye mfumo wa mitihani NECTA na kupewa prem number..wahi
NipoMkoani Mkuuishu yako sio kubwa kihivyo,kama uko dar nenda RITA pale watakurekebishia
- Kwako inawezekana. Fuata taratibu, Watarekebisha walimu kwenye usajiri wa Mitihani ya Darasa la 4.Dah! Nami nahangaika na ishu hiyohiyo, maaana wkt Nesi aliekuwa anaandika jina baada ya Mtoto kuzaliwa alikuwa na tatizo la matamshi, baada ya kuandika Najmah yy akaandika Najimah, sasa ishu kuitoa hiyo i ndio shida na Dogo yupo darasa la3 na keshazoea kundika Najma
Hii ya herufi NECTA wanafanya nenda pale ofisini kwao watakusaidia lkn jina jipya Hilo sahauDah! Nami nahangaika na ishu hiyohiyo, maaana wkt Nesi aliekuwa anaandika jina baada ya Mtoto kuzaliwa alikuwa na tatizo la matamshi, baada ya kuandika Najmah yy akaandika Najimah, sasa ishu kuitoa hiyo i ndio shida na Dogo yupo darasa la3 na keshazoea kundika Najma
Kama yupo la Sita nenda ata Necta pale makao makuu waambie au nenda Kwa afisa elimu wilaya na IT wake fasta tu ila akifanya wa la Saba ndo basiHii swala imekuwa changamoto,nami limenikuta kwa mtoto wa darasa la sita Mwalimu ameniambia haiwezekani chakunishauri nikwamba nikabadili jina RITA ili cheti chamtoto kiendane na jina lamtoto shuleni..mistek iliyotokea nikwamba mtototo anaitwa SUMA baba anaitwa BAHATI JUMA KINGAZI sasa shuleni aliandikwa kwa majina mawili SUMA BAHAT baadae kwene kuandika majina matatu jina latatu mtoto akawatajia jina la JUMA badala ya Jina la ukoo KINGAZI,kwaiyo shuleni anaitwa SUMA BAHAT JUMA badala ya SUMA BAHAT KINGAZI sasa kwene kulipachika jina la ukoo ndio imekuwa ishu ,tunapoelekea naona atatumia majina Manne kama anko Magu
Huyo ni baba hewa.Vyeti feki ndo nyie! Utaanzaje kubadili jina la mtoto? Tangu mtihani wa darasa la nne hukuona? Mtihani wa la saba hukuona? Mtihani wa kidato cha pili hukuona? RIP Magufuli
jina linarekebishwa bwana wakati wa usajiri,Umejibiwa vizuri sana kuwa haiwezekani kubadilisha jina hata iweje na hata ukifanikiwa mahakamani NECTA hawatabadilisha chochote.
Kwa sababu taarifa za mwanafunzi zinapaswa ziwiane kwa kila kitu.
shule anayosoma wakati wa usajiri na uhakiki wa majina kwa ajili ya mtihaniNaanzia wapi Mkuu?
Mtoto angekua shule ya Msingi ingekua rahisi, We waambie jina la kati limekosewa.WKuu
Nina kijana yuko form 3 anaingia form four.
Sasa majina anayotumia jina la katikat siyo sahii nataka nibadili.Shuleni walidai haiwezekani.
Je utaratibu wa kisheria ukoje
Asante MkuuHii ya herufi NECTA wanafanya nenda pale ofisini kwao watakusaidia lkn jina jipya Hilo sahau