Utaratibu wa kubadili majina ya mtoto shuleni ukoje??

Kwahiyo Mkuu unanipa utaratibu na mshahara wa tusi kama nyongeza sio!? Haya Mkuu nimekusoma pia asante
 
- Kwako inawezekana. Fuata taratibu, Watarekebisha walimu kwenye usajiri wa Mitihani ya Darasa la 4.
 
Hii ya herufi NECTA wanafanya nenda pale ofisini kwao watakusaidia lkn jina jipya Hilo sahau
 
Kama yupo la Sita nenda ata Necta pale makao makuu waambie au nenda Kwa afisa elimu wilaya na IT wake fasta tu ila akifanya wa la Saba ndo basi
 
Haiwezekani hata iweje utabadilisha Kwa mambo mengine ila necta litatumika ilo ilo kiapo kitakusaidia kwenye mambo mengine Kam bima ya afya lakn necta haibadiliki mm nimetumia majina mawili tangu la kwanza had 4m 4 kuongeza jina tu imeshindikana
 
Umejibiwa vizuri sana kuwa haiwezekani kubadilisha jina hata iweje na hata ukifanikiwa mahakamani NECTA hawatabadilisha chochote.
Kwa sababu taarifa za mwanafunzi zinapaswa ziwiane kwa kila kitu.
jina linarekebishwa bwana wakati wa usajiri,
 
WKuu
Nina kijana yuko form 3 anaingia form four.
Sasa majina anayotumia jina la katikat siyo sahii nataka nibadili.Shuleni walidai haiwezekani.

Je utaratibu wa kisheria ukoje
Mtoto angekua shule ya Msingi ingekua rahisi, We waambie jina la kati limekosewa.
 
mm nahisi hawa wanaotaka kubadili majina watakuwa ni wale wanaume wakataa mimba au kutelekeza watoto na mwanamke akijifungua analea mwenyewe baada ya aliyemjaza mimba kuingia mitini huyu akija kumpa mtoto jina la ubini anapewa jina la babu au akitokea mwanaume mwingine akamsitiri huyo mwanamke na mtoto wake aliyetelelezwa basi mama mtoto anaweza kubadilisha jina la pili la mtoto akapewa la mwanaume mwingine ambae anamtunza baada ya baba halisi wa mtoto kumtelekeza...baada ya miaka ndio baba halisi anajitokeza anakuta mtoto anatumia jina la ubini usio wake ndio hawa wanaaanza kuhaha mtoto yupo kidato cha tatu eti ndio anajua jina la kati limekosewa yanataka kubadilishwa leo.! ndio najiuliza mtoto tangu anaanza darasa la kwanza hadi kidato cha tatu usione kasoro ya jina la baba kama ulikuwa ukiishi nae..maana yake ulimtelekeza au ulimkataa na sasa ndo umejirudi unataka mtoto awe na utambulisho wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…