Utaratibu wa kufuata ili kuonana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mazungumzo binafsi

Rebeca 83 notice ruti unayoipita uko kwenye stages za kuelekea kwenye depression. Upo kwenye stage ya denial ushapoteza imani na sisi binadamu na unataka kuziba kilichokukuta na umeshatoka kwenye kujilaumu.

Nataka ujue pia hiyo ni namna yangu ya kistaarabu ya kukwambia "You are taking the Don Nalimison route" usiende huko.
 

Ni kweli niko kwenye denial, ila ni natural proccess hata nikipata depression, haitadumu itapita...
 
Unapeleka maombi kwa Mkuu wa Wilaya anayafikisha kwa Mkuu wa Mkoa nae anayapeleka kwa Katibu Mkuu Kiongozi ndipo kama Kuna umuhimu tarehe inapangwa.
Katika hao watu hapo kuna mmoja atatupilia maombi yako chooni! Usiulize kwanini, hii ndio Tanzania na siajabu yasivuke kwa sekretare wa mmoja wapo hapo.
 
Ni kweli niko kwenye denial, ila ni natural proccess hata nikipata depression, haitadumu itapita...
Basi kwakua unajua ruti uliyoichagua sioni kama itakua shida sana. Na iwe kama Anavyotaka iwe.
 
Basi kwakua unajua ruti uliyoichagua sioni kama itakua shida sana. Na iwe kama Anavyotaka iwe.

sijachagua kama nilivyosema ni natural, ukitapeliwa una go through a lot of a emotions, guilty, sad , angry with yourself and the world, but people do recover.. ni kipindi tu cha muda...kitapita
 
Labda uende na sura inayoonekana kwenye vyombo vya habari vya serikali kama escort wako. Otherwise inakula!
Kwakweli Ulaya hata ukiandika malalamiko yako kwa kampuni, wakiipata barua yako tu wanakujulisha kuwa wameipata na wanaifanyia kazi na baada ya muda wanakujulisha maamuzi waliyochukua.
 
Kwakweli Ulaya hata ukiandika malalamiko yako kwa kampuni, wakiipata barua yako tu wanakujulisha kuwa wameipata na wanaifanyia kazi na baada ya muda wanakujulisha maamuzi waliyochukua.
Ulaya hamna kujuana...Ni mifumo imara tu kila upande ndio maana ukiritimba wa kishamba kama tulionao sisi hakuna. You have queries, you get served on demand! Hamna miyeyusho yeyusho mpaka sijui umhonge mtu.
 
PM
 
Mzee kwani kuna Rais Wangapi Tanzania hii[emoji848]
kuna raisi wengi tu mbona hii nchi:
1.Rais wa jamhuri
2.Rais wa TFF
3.Rais wa Tanganyika Lawyers Society (TLS)
4.Raisi wa manzese (Madee)
5Raisi wa wasafi (Mondi)
6.Raisi wa akudo music
7.Raisi wa wanafunzi UDOM
8.Raisi wa wanafunzi UDSM
9.Raisi wa CHAUMA (hashim rungwe)
10.Mm mwnyw ni RAISI wa halmashauri ya kichwa changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…