Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakipigwa akina Kawe Alumni na Crimea inatosha....wasipotoshea wamuongeze bia yetu 🤣🤣Hautaki mama mtumishi apigwe mnada nje😂
........
😉
Ngoja tuone tutapigwa mnada wapi baada ya mama kufungua nchiWakipigwa akina Kawe Alumni na Crimea inatosha....wasipotoshea wamuongeze bia yetu 🤣🤣
Hivi inafunguliwaje?..Ngoja tuone tutapigwa mnada wapi baada ya mama kufungua nchi
Ukiona watu wanasombwa kupigwa mnada ujue ndio ishafunguka hivyo.Hivi inafunguliwaje?..
Kama kanisa?
Au kama kamba za viatu
Au kama account?
Pengine ni kama dirisha.
Au inafunguliwa kama koki.
Labda ni kama zipu 🤣🤣
Unaeza jikuta umenunuliwa na mnunuzi kutoka Taliban huko...uzimie mwaka 🤣🤣Ukiona watu wanasombwa kupigwa mnada ujue ndio ishafunguka hivyo.