Utaratibu wa mabasi ya Abood kuingia gereji Morogoro una faida gani?

Utaratibu wa mabasi ya Abood kuingia gereji Morogoro una faida gani?

Habari WanaJf,aisee mimi nilikuwa mpenzi wa mada ya VITUKO MTAANI,TUPIA CHAKO;;Nashangaa siioni tena hii mada kwa program,vipi imefutwa?Au kuna sehemu nimekosea ktk settings?NAOMBA kujuzwa please,nitashukuru
 
Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.

Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?

Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Kina Abood ni watu wa matukio sana wale, kila basi lifikalo pale lazima liwekwe jini kwa ajili ya ulinzi njiani na kuna yanayopangwa rasmi ili yapinduke na kuua kisha wapate mengine mapya. Wenye mabasi si watu wa kawaida.
 
Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.

Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?

Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Ulitaka basi la Majinja liingie yadi ya Abood! Mabasi hayo hayana uhusiano.
Tatizo lolote la usafiri peleka LATRA siyo ka Rais, unaposhauri jambo tumia akili.
 
Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.

Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?

Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Ndio uchawi wake huo
 
Kuna Mada humu humu JF uhusu Abood, itafute uunganishe Matukio. Wanabodi walisema Gari za Abbod zinaingia Yard ili akusanye michanga iliyopo kwenye gari kwa mambo yake ya Ndumba. Siku nyingine tafiti, Gari ikitoka yard imekuwa safi gafla tambua kwamba umeshabebwa Unyayo wako mkuu utabaki kutengenezwa uendelee kuwa Msukule wa Abood milele ndio maaana magari ni mabovuuuuu lkn umeona kuna Misukule yake humu inaiimbia mapambio. Gari AWY mkweche wa mwaka 2002 lkn ukiunanga kuna waliobebwa Nyayo na kutengenezwa wakatengenezeka wanatoka mishipaaaa kutetea hizo Screpa.
 
Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.

Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?

Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Bado mnapandaga tu.
 
Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.

Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?

Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Acha ujuaji.Panda gari lingine lisiloingia kuoga yadi.Umeshtaki kwa watu wengi ili iweje?
 
Unatoka mbeya kwenda dar, alafu unappanda abood?? Tatizo hapo ni wewe Wala sio abood.
Siku nyingine panda hizi gari
  • Sauli
  • New Force
  • Imani Plus
  • Al Saedy
T 363 DSP
FB_IMG_16325569600153559.jpg
 
Yan mpaka karne hii unapanda abood shame on you kuna Gar mpya kampun mpya hukuziona iman, Saul, golden dear
 
Hizi basi huwa zinaingia gereji yao hasa kwaajili ya kukaguliwa kama hazinahitilafu yoyote kwani safari ni ndefu,na huwa wanafanya kwa mabasi ya masafa marefu tu,basi za dar moro abiria hawapelekwi gereji,laziada pia pale ndipo wanapojazia mafuta basi zao.

Mwanzo nilikuwa nalalamikia kama wewe,lakini zaidi ya mara tatu tulishafaulishwa basi baada yakukaguliwa zikaonekana na hitilafu ambayo ni hatari kwa safari.Hapo nikagundua kwamba utaratibu wao ni mzuri kwani wanazingatia usalama wetu.

Kuhusu kuachwa juani nalo sio kweli kwani pale nje kuna mabanda ya wafanya biashara wanaopata riziki zao kutokana na mabasi haya kupitia gereji labda useme yale mabanda pale nje sio classic.

Kunaweza kuwa na changamoto lakini binafsi nafikiri ni bora zikarekebishwa hizo Ila utaratibu huu ni mzuri.
 
Utaratibu huu ni mzuri wa kukagua na kuyafanyia service pale kwenye garage yao, Tatizo ninaloliona ni abood kutegemea vibanda vya wafanyabiashara pale nje kwa ajili ya kupumzika wasafiri! wangejenga sehemu pale ya kupumzika Wasafiri
 
Back
Top Bottom