Nyalumana originally
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 421
- 1,367
Kina Abood ni watu wa matukio sana wale, kila basi lifikalo pale lazima liwekwe jini kwa ajili ya ulinzi njiani na kuna yanayopangwa rasmi ili yapinduke na kuua kisha wapate mengine mapya. Wenye mabasi si watu wa kawaida.Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Ulitaka basi la Majinja liingie yadi ya Abood! Mabasi hayo hayana uhusiano.Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Nauli yake 28000- 30000AWY hiyo gari si ya mwaka 2003?? Hukukalia kigoda kweli?
Ndio uchawi wake huoMabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Hivi sikuhizi hayupo road??Hata hood alikuwa na hii tabia
Bado mnapandaga tu.Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Acha ujuaji.Panda gari lingine lisiloingia kuoga yadi.Umeshtaki kwa watu wengi ili iweje?Mabasi ya kampuni ya Abood yanayotokea popote, yakifika Morogoro, lazima yapitie kwenye yard yao. Abiria wote mnashushwa nje ya geti. Basi linaingia ndani, sijui linaenda kufanyiwa nini? Halafu baada ya dakika kadhaa linatoka. Abiria mnapanda tena kuendelea na safari.
Hapo nje hakuna sehemu rasmi ya kusubiria. Mnatelekezwa juani, eneo la wazi, mnalowana vumbi. Sijui kama suala hili lipo kisheria? Serikali ya mkoa, waziri wa usafirishaji na uchukuzi. Waziri wa mambo ya ndani, waziri mkuu na hata rais wetu, sijui kama wanalifahamu hili?
Mimi kwa upande sikupendezwa na kilichotokea leo tarehe 23-10-2021. Kwangu ni mara ya kwanza, lakini nilivyosikia toka kwa abiria wenzangu tuliyotokea Mbeya, kwa basi la Abood lenye namba T830AWY, kwamba huu ndiyo utaratibu wao. Lazima mabasi yao yote yapitie ofisini kwao. Abiria wote tulishushwa, gari likaingia ndani ya ofisi zao, halaf likatoka tukaendelea na safari ya Dar. Sidhani kama na mabasi mengine yanafanya hivi? Ingawa juzi nilipanda basi la majinja sijaona mambo hayo
Hata hizo marcopolo zinahitaji maintainance ili ziendelee kupendeza na kuvutia..Hiyo Ni scania engine. Body Marco Polo. Weka mbali na watoto kina yutong
T 363 DSPUnatoka mbeya kwenda dar, alafu unappanda abood?? Tatizo hapo ni wewe Wala sio abood.
Siku nyingine panda hizi gari
- Sauli
- New Force
- Imani Plus
- Al Saedy
Jamaa jinga sana.
Unapataje nguvu ya kupanda abood aseeJamaa jinga sana.
Alibaki na gari moja ya arusha-mbeya sina uhakika kama bado lipo.Hivi sikuhizi hayupo road??
Hiyo ilikula mzinga kipindi flani hivi.Alibaki na gari moja ya arusha-mbeya sina uhakika kama bado lipo.