The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Ungekuwa umekuwa ungeelewa nilichoandika pale juu ukarekebisha lakini sababu bado mtoto unaendeleza yale yale.Kwani lazima niandike unachotaka kusikia wewe? Tatizo ndo hilo. Yaani watu wote watililishe unachokitaka wewe! Haitatokea.
Hujawa bado na hadhi ya kusimama mbele ya mwanaume mwenzako ukampa nasaha zozote elewa hilo, ngoja ukue kwanza.