Utaratibu wa Mahari, mwanamke wa Kichaga Rombo

Utaratibu wa Mahari, mwanamke wa Kichaga Rombo

Ndugu umekosa kabsa sehm nyingine Tanzania ya kutoa posa?
Mbona niko na Happiness na ni mtu poa sana dunia imebadirika anyway taratibu ni za kawaida tu
1:tafuta mshenga
2:andaa mahali(pesa)
3:andaa budget ya sherehe mbili kimila na kanisani
4:mengine muulize mkeo mtarajiwa ni watu poa sana white wachapa kazi

Wengi hupenda kukubaliana na wewe (mwanaume)unapong'ang'ania jambo kifupi ni hawapendi kubishana
 
Huku mitandaoni utafika kwenye lengo ukiwa umechoka sana.

Njia rahisi na ya uhakika...tafuta mchagga wa Rombo (mtu wa makamo/mzee), uongee naye ana kwa ana utapata mwongozo mzuri wa kufikia kusudio lako.
Kila la heri!
Ushauri mzuri
 
Bora huyo MROMBO kuliko MMERU, MKIBOSHO au Mmachame!!

Ungekufa mwakani wewe 😃
 
hawezi acha kujua na kama hajui angeweza kuuliza ila sitaki kumjulisha hili jambo kabla sijajipanga.

siku namwambia kuhusu hili, kesho yake natuma watu kwao yani ivyo
Mkuu inatakiwa umwambie mapema ili yeye na wazazi wake wajipange pia kuwapokea ugeni. Huwezu mwambia leo halafu kesho ukaenda. Angalau hata mwezi mmoja au miwili kabla
 
Mkuu inatakiwa umwambie mapema ili yeye na wazazi wake wajipange pia kuwapokea ugeni. Huwezu mwambia leo halafu kesho ukaenda. Angalau hata mwezi mmoja au miwili kabla
ntafanya hivyo mkuu ila natamani kujua mahari ya kwao ipoje mkuu kwanza.
 
Huku mitandaoni utafika kwenye lengo ukiwa umechoka sana.

Njia rahisi na ya uhakika...tafuta mchagga wa Rombo (mtu wa makamo/mzee), uongee naye ana kwa ana utapata mwongozo mzuri wa kufikia kusudio lako.
Kila la heri!
shukran mkuu
 
Back
Top Bottom