Mbona niko na Happiness na ni mtu poa sana dunia imebadirika anyway taratibu ni za kawaida tuNdugu umekosa kabsa sehm nyingine Tanzania ya kutoa posa?
Watu poa mnooo the guy is luckyWarombo ni afadhali.
Ushauri mzuriHuku mitandaoni utafika kwenye lengo ukiwa umechoka sana.
Njia rahisi na ya uhakika...tafuta mchagga wa Rombo (mtu wa makamo/mzee), uongee naye ana kwa ana utapata mwongozo mzuri wa kufikia kusudio lako.
Kila la heri!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugu umekosa kabsa sehm nyingine Tanzania ya kutoa posa?
Mkuu inatakiwa umwambie mapema ili yeye na wazazi wake wajipange pia kuwapokea ugeni. Huwezu mwambia leo halafu kesho ukaenda. Angalau hata mwezi mmoja au miwili kablahawezi acha kujua na kama hajui angeweza kuuliza ila sitaki kumjulisha hili jambo kabla sijajipanga.
siku namwambia kuhusu hili, kesho yake natuma watu kwao yani ivyo
ntafanya hivyo mkuu ila natamani kujua mahari ya kwao ipoje mkuu kwanza.Mkuu inatakiwa umwambie mapema ili yeye na wazazi wake wajipange pia kuwapokea ugeni. Huwezu mwambia leo halafu kesho ukaenda. Angalau hata mwezi mmoja au miwili kabla
shukran mkuuHuku mitandaoni utafika kwenye lengo ukiwa umechoka sana.
Njia rahisi na ya uhakika...tafuta mchagga wa Rombo (mtu wa makamo/mzee), uongee naye ana kwa ana utapata mwongozo mzuri wa kufikia kusudio lako.
Kila la heri!
Adamu aliumbiwa wake kwa kuchomolewa ubavuKwani wazazi wameuliza mahari? Pigeni tu maisha. Hivi Adam alivyopewa mke alitoa mahari kwa nani?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app