Utaratibu wa ndoa yangu

Inawezekana ila kaa utaanza taratibu hizi mwanzo kabisa ila ukisubir mshaanza safari umeisha

kugegedwa ndo nini sijaelewa
Tatizo mapenzi ni km uwindaji, ukienda vibaya unapeperusha ndege, inahitaji akili nyingi sana kwa wanawake wa kileo, huyu anakiri mkewe si wa kisasa ndio maana imekuwa rahisi kwake.
 
Naona ana kwepakwepa kujibu! Eti we mkuu Dali Mpofu haya mambo umeyatoa wapi? Au mzee wako aliishi hivyo na maza?
There some traits that reveal what kind of a person you are
Mbona vitu vya kawaida hivyo, tatizo wanaume wenye tabia za kike mkiona mwanaume anauishi uanaume wake mnahisi kama mmechomwa na kisu cha moto kwenye chemba ya moyo.
 
Ndoa lazima iwe na misimamo yake
Hata maajuza wanakuwaga na nyege wakikutana na mtu sahihi.

Na pengine miaka yote unang'ongw'a. Ukirudi na biti lako na mikwara mwenzio anakucheka kijicho pembe keshakamuliwa vizuri[emoji2][emoji2]
Nguruka ndio maana nikasema bado huwaelewi wanawake, kumpima
mwanamke kama yupo pamoja na wewe jaribu kuwa politically incorrect, mkataze kufanya vitu ambavyo si kawaida kwa wengine kukubali, and if she obeys your speech that means she trusts your authority.

Infidelity inaanzaia pale mwanamke anapo doubt your authority, maana yake kaona kwamba wewe ni dhaifu huwezi kumuongoza na kuna mwanaume bora zaidi yako huko nje na yupo tayari ku surrender kwake

Mwanamke anataka ku surrender kwa mwanume aliye strong, ikitokea ameshindwa kukutii unachosema ujue huyo sio wako na haumuwezi, ndio maana biblia inahimiza kuhusu utiifu wa mwanamke.
 
Itoshe kusema wanawake wenyewe hawajielewi, sembuse wewe.

Endelea kuamini unawaelewa chief, maisha huru haya.
kumuelewa mwanamke inahitaji ujielewe wewe kwanza, na uelewe unataka nini kutoka kwake km afanyavyo mleta mada, na hii thread inaonesha wanaume wengi ni kina Samson na delilah, you place your women above God, you dont have leadership skills, wait til the storm arrives, there will be no place to hide your weakness.
 
Basi sawa.
 
Ok.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Shikilia hapo hapo. Ila likitokea lolote ujue ni ajali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…