Utaratibu wa ndoa yangu

Utaratibu wa ndoa yangu

Mara nyingi natumia ile kauli "mwanamke usipomuendesha wewe atakuendesha yeye" hivyo nimekuwa na utaratibu wangu wa kipekee ktk ndoa yangu. Sio udikteta wala si kwamba nafanya kitu sijui.
Ipo ivi

Mke wangu ni marufuku na kosa la jinai kuvaa suruali na nguo yoyote dizain hyo, nguo zake ni gauni pana,blauzi skert na nguo zenye heshima.

Mke wangu hana campan ya wanawake wa aina hyo ya mavazi ya uchi hyo ni sheria sio ombi,kwa kifupi hana marafiki, mkewangu ni yeye na nyumbani nyumbani na yeye. Habari za kwenda kwenda kwao hyo haipo kwangu,labda km kuna issue ya lazima pia tunaweza kwenda nae tukarudi cku hyo hyo.

Mke wangu anaishi maisha local, sio mtu wa kwenda na usasa kivile. Anaishi maisha safi, kula vzr kulala pazuri huduma zote muhimu anapata lkn sio mtu wa kwendwa na nyakati,hapendelei kusuka ni mtu wa kunyoa tuu.

Nimarufuku nimkute mke wangu anasafishiwa kucha/miguu na wasafisha kucha, ananijua hawezi kuthubutu.

Mimi mda wa kurudi nyumban haujulikani sina ratiba maalum, kwa kifupi ratiba zangu mkewangu haelewi na sitaki aelewe.

Mimi kuchukua simu yake na kuondoka nayo ni jambo la kawaida, alafu ni kosa nikute kaunga kifurushi cha Sms kwenye simu yake.

Nimefanya haya na mengine na nimeweza kwa kiwango kikubwa, na mkewangu amechukulia km ni utaratibu wa ndoa. Sifanyi kumkatili lkn najua mwanamke usipomuendesha atakuendesha.
Kuna jamaa kaleta mada kule kasema hata umlinde vp mkeo atakuchiti tuuu


Ngoja tuonee
 
Ninachojua, Ndoa haina fomular namna ya kwenda ili idumu au heshima ipatikane, unaweza ukafikiri unamdhibiti kumbe ndio unaharibu, mke anakaa nyumbani tu akusubiri umletee una guarantee ya maisha? ukiumwa au kupata ajali utaweza kutafuta hela kumhudumia? Mke kuheshimu ni Automatically kulingana na unavyomtreat, sio kumpelekesha kijeshi hivyo. Kuna vitu vya kukataza kweli na kuwekea msimamo mfano: hilo la kupakwa kucha, wangu nilimwambia kama hawezi kujipaka abaki na rangi asili ya kucha zake, kwanza sikumpendea kucha, kuvaa manywele bandia A.K.A mawigi nilimpigia marufuku maana siyapendi. Ila mke wangu sio mama wa nyumbani, anajichanganya na wengine inamsaidia pia kujua changamoto ya ndoa za wengine ili kwake arekebishe
 
Ninachojua, Ndoa haina fomular namna ya kwenda ili idumu au heshima ipatikane, unaweza ukafikiri unamdhibiti kumbe ndio unaharibu, mke anakaa nyumbani tu akusubiri umletee una guarantee ya maisha? ukiumwa au kupata ajali utaweza kutafuta hela kumhudumia? Mke kuheshimu ni Automatically kulingana na unavyomtreat, sio kumpelekesha kijeshi hivyo. Kuna vitu vya kukataza kweli na kuwekea msimamo mfano: hilo la kupakwa kucha, wangu nilimwambia kama hawezi kujipaka abaki na rangi asili ya kucha zake, kwanza sikumpendea kucha, kuvaa manywele bandia A.K.A mawigi nilimpigia marufuku maana siyapendi. Ila mke wangu sio mama wa nyumbani, anajichanganya na wengine inamsaidia pia kujua changamoto ya ndoa za wengine ili kwake arekebishe
Ndoa lazima iwe na misimamo yake
 
Subiri yakikukuta utaelewa ninachosema. Tena nyie wababe ndio mnagongewa kizembe zembe.

Unaweza kuta huyo anaemshonea magauni ya kitenge akawa ndio anamla😃😃😃😃😃
Yanikute lini mzee? Unajua nina miaka mingapi nae
 
Yanikute lini mzee? Unajua nina miaka mingapi nae
Hata maajuza wanakuwaga na nyege wakikutana na mtu sahihi.

Na pengine miaka yote unang'ongw'a. Ukirudi na biti lako na mikwara mwenzio anakucheka kijicho pembe keshakamuliwa vizuri😃😃
 
Kuna vitu unaweza kusema unafnya kwa maamuzi yako kumbe ni ishu za inheritance...je faza yupo hivo..?

Au haka katabia umeanza nako weweb
Naona ana kwepakwepa kujibu! Eti we mkuu Dali Mpofu haya mambo umeyatoa wapi? Au mzee wako aliishi hivyo na maza?
There some traits that reveal what kind of a person you are
 
Mara nyingi natumia ile kauli "mwanamke usipomuendesha wewe atakuendesha yeye" hivyo nimekuwa na utaratibu wangu wa kipekee ktk ndoa yangu. Sio udikteta wala si kwamba nafanya kitu sijui.
Ipo ivi

Mke wangu ni marufuku na kosa la jinai kuvaa suruali na nguo yoyote dizain hyo, nguo zake ni gauni pana,blauzi skert na nguo zenye heshima.

Mke wangu hana campan ya wanawake wa aina hyo ya mavazi ya uchi hyo ni sheria sio ombi,kwa kifupi hana marafiki, mkewangu ni yeye na nyumbani nyumbani na yeye. Habari za kwenda kwenda kwao hyo haipo kwangu,labda km kuna issue ya lazima pia tunaweza kwenda nae tukarudi cku hyo hyo.

Mke wangu anaishi maisha local, sio mtu wa kwenda na usasa kivile. Anaishi maisha safi, kula vzr kulala pazuri huduma zote muhimu anapata lkn sio mtu wa kwendwa na nyakati,hapendelei kusuka ni mtu wa kunyoa tuu.

Nimarufuku nimkute mke wangu anasafishiwa kucha/miguu na wasafisha kucha, ananijua hawezi kuthubutu.

Mimi mda wa kurudi nyumban haujulikani sina ratiba maalum, kwa kifupi ratiba zangu mkewangu haelewi na sitaki aelewe.

Mimi kuchukua simu yake na kuondoka nayo ni jambo la kawaida, alafu ni kosa nikute kaunga kifurushi cha Sms kwenye simu yake.

Nimefanya haya na mengine na nimeweza kwa kiwango kikubwa, na mkewangu amechukulia km ni utaratibu wa ndoa. Sifanyi kumkatili lkn najua mwanamke usipomuendesha atakuendesha.
Mke wako anaishi na Nyampala
 
Back
Top Bottom