Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Hadi saa sita nipo Tu jf .aisee naitaji control mjue.mnioe sasaHuu ni uhuru uliovuka mipaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi saa sita nipo Tu jf .aisee naitaji control mjue.mnioe sasaHuu ni uhuru uliovuka mipaka sasa
Utume utambulisho ili tulivalie njugaHadi saa sita nipo Tu jf .aisee naitaji control mjue.mnioe sasa
Nyege hazina kujenga toka siku ya kwanza wala ya mwisho baba, kalagabaho.Kuna namna ukimjenga mkeo toka cku ya kwanza mnafahamiana hawez badilika, ila ukimpa mda alafu uje baadae na utaratibu wako umevunja ndoa
Wewe wasemaNyege hazina kujenga toka siku ya kwanza wala ya mwisho baba, kalagabaho.
Kama huhitaji mahari mimi nipo tayari kukuoa.Hadi saa sita nipo Tu jf .aisee naitaji control mjue.mnioe sasa
Subiri yakikukuta utaelewa ninachosema. Tena nyie wababe ndio mnagongewa kizembe zembe.Wewe wasema
Kuna jamaa kaleta mada kule kasema hata umlinde vp mkeo atakuchiti tuuuMara nyingi natumia ile kauli "mwanamke usipomuendesha wewe atakuendesha yeye" hivyo nimekuwa na utaratibu wangu wa kipekee ktk ndoa yangu. Sio udikteta wala si kwamba nafanya kitu sijui.
Ipo ivi
Mke wangu ni marufuku na kosa la jinai kuvaa suruali na nguo yoyote dizain hyo, nguo zake ni gauni pana,blauzi skert na nguo zenye heshima.
Mke wangu hana campan ya wanawake wa aina hyo ya mavazi ya uchi hyo ni sheria sio ombi,kwa kifupi hana marafiki, mkewangu ni yeye na nyumbani nyumbani na yeye. Habari za kwenda kwenda kwao hyo haipo kwangu,labda km kuna issue ya lazima pia tunaweza kwenda nae tukarudi cku hyo hyo.
Mke wangu anaishi maisha local, sio mtu wa kwenda na usasa kivile. Anaishi maisha safi, kula vzr kulala pazuri huduma zote muhimu anapata lkn sio mtu wa kwendwa na nyakati,hapendelei kusuka ni mtu wa kunyoa tuu.
Nimarufuku nimkute mke wangu anasafishiwa kucha/miguu na wasafisha kucha, ananijua hawezi kuthubutu.
Mimi mda wa kurudi nyumban haujulikani sina ratiba maalum, kwa kifupi ratiba zangu mkewangu haelewi na sitaki aelewe.
Mimi kuchukua simu yake na kuondoka nayo ni jambo la kawaida, alafu ni kosa nikute kaunga kifurushi cha Sms kwenye simu yake.
Nimefanya haya na mengine na nimeweza kwa kiwango kikubwa, na mkewangu amechukulia km ni utaratibu wa ndoa. Sifanyi kumkatili lkn najua mwanamke usipomuendesha atakuendesha.
Kwa nyeto hao sasa, balaa. Unaweza lishwa tango kumbe mume mwenzio.Sema kuna raha sana kuwa na mwanamke asie na marafiki wengi.
Wanawake wa hivi hawana mambo mengi na ninawatakia usiku mwema, nyie wengine liwakute lolote.
Ndio, nakazia liwakute lolote.
Bora apige nyeto kuliko kuuzwa na marafikiKwa nyeto hao sasa, balaa. Unaweza lishwa tango kumbe mume mwenzio.
Ndoa lazima iwe na misimamo yakeNinachojua, Ndoa haina fomular namna ya kwenda ili idumu au heshima ipatikane, unaweza ukafikiri unamdhibiti kumbe ndio unaharibu, mke anakaa nyumbani tu akusubiri umletee una guarantee ya maisha? ukiumwa au kupata ajali utaweza kutafuta hela kumhudumia? Mke kuheshimu ni Automatically kulingana na unavyomtreat, sio kumpelekesha kijeshi hivyo. Kuna vitu vya kukataza kweli na kuwekea msimamo mfano: hilo la kupakwa kucha, wangu nilimwambia kama hawezi kujipaka abaki na rangi asili ya kucha zake, kwanza sikumpendea kucha, kuvaa manywele bandia A.K.A mawigi nilimpigia marufuku maana siyapendi. Ila mke wangu sio mama wa nyumbani, anajichanganya na wengine inamsaidia pia kujua changamoto ya ndoa za wengine ili kwake arekebishe
Mke wanguSasa huyo ni mke au mfungwa?
Yanikute lini mzee? Unajua nina miaka mingapi naeSubiri yakikukuta utaelewa ninachosema. Tena nyie wababe ndio mnagongewa kizembe zembe.
Unaweza kuta huyo anaemshonea magauni ya kitenge akawa ndio anamla😃😃😃😃😃
Hata maajuza wanakuwaga na nyege wakikutana na mtu sahihi.Yanikute lini mzee? Unajua nina miaka mingapi nae
Naona ana kwepakwepa kujibu! Eti we mkuu Dali Mpofu haya mambo umeyatoa wapi? Au mzee wako aliishi hivyo na maza?Kuna vitu unaweza kusema unafnya kwa maamuzi yako kumbe ni ishu za inheritance...je faza yupo hivo..?
Au haka katabia umeanza nako weweb
Mke wako anaishi na NyampalaMara nyingi natumia ile kauli "mwanamke usipomuendesha wewe atakuendesha yeye" hivyo nimekuwa na utaratibu wangu wa kipekee ktk ndoa yangu. Sio udikteta wala si kwamba nafanya kitu sijui.
Ipo ivi
Mke wangu ni marufuku na kosa la jinai kuvaa suruali na nguo yoyote dizain hyo, nguo zake ni gauni pana,blauzi skert na nguo zenye heshima.
Mke wangu hana campan ya wanawake wa aina hyo ya mavazi ya uchi hyo ni sheria sio ombi,kwa kifupi hana marafiki, mkewangu ni yeye na nyumbani nyumbani na yeye. Habari za kwenda kwenda kwao hyo haipo kwangu,labda km kuna issue ya lazima pia tunaweza kwenda nae tukarudi cku hyo hyo.
Mke wangu anaishi maisha local, sio mtu wa kwenda na usasa kivile. Anaishi maisha safi, kula vzr kulala pazuri huduma zote muhimu anapata lkn sio mtu wa kwendwa na nyakati,hapendelei kusuka ni mtu wa kunyoa tuu.
Nimarufuku nimkute mke wangu anasafishiwa kucha/miguu na wasafisha kucha, ananijua hawezi kuthubutu.
Mimi mda wa kurudi nyumban haujulikani sina ratiba maalum, kwa kifupi ratiba zangu mkewangu haelewi na sitaki aelewe.
Mimi kuchukua simu yake na kuondoka nayo ni jambo la kawaida, alafu ni kosa nikute kaunga kifurushi cha Sms kwenye simu yake.
Nimefanya haya na mengine na nimeweza kwa kiwango kikubwa, na mkewangu amechukulia km ni utaratibu wa ndoa. Sifanyi kumkatili lkn najua mwanamke usipomuendesha atakuendesha.
Nzuri hiyoooooNaona ana kwepakwepa kujibu! Eti we mkuu Dali Mpofu haya mambo umeyatoa wapi? Au mzee wako aliishi hivyo na maza?
There some traits that reveal what kind of a person you are