Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kisa mtani 😬😬Mmefiwa na bado anataka pesa?
Kweli lakini ndio tunafanyaje ndugu anajua umefiwa na mzazi anakuambia sina nauli ya kurudi na sio mmoja nilisafirisha kama saba nauli ni 35+K @1Huu utaratibu unaumiza sana mkuu.
Poleni sana
NakusalimiaAlikuwa anahitaji pesa 😬😬
Huu upumbavu sijui kwanini tunaulea!.Kweli lakini ndio tunafanyaje ndugu anajua umefiwa na mzazi anakuambia sina nauli ya kurudi na sio mmoja nilisafirisha kama saba nauli ni 35+K @1
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 msilete masihara na maisha nyie!!!Usipowalisha ndio utajua wamekuja zika au kula. Yaani ni lawama Kila sehemu. Jamaa alifanya kusudi akawalisha wali Chinese na ana uwezo mkubwa wa kupika nyama, hawakumchelewesha walimfuata na kumpaka pale pale kabla ya maziko, ilibidi wengine tuangue kicheko huku pembeni wanalalamika siku nyingine akitulisha majani kama mbuzi hatuji tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo ustaarabu hatuna
Yaan tulifiwa jamani tukazika watu wanakuja muda wa chakula unaona wamejaa,wakimaliza kula wanapotea ikifika muda wa kula hao ilibidi tutangaze walivyomaliza kula kuwa msiba umeisha tunawashukuru sana [emoji23][emoji23][emoji23] tukafunga na milango ya geti lasivyo wangeendelea kuja
Mkishazika mnatakiwa kutoa taarifa mkaburini kama kuna matanga au lah au Tangandugu.Wabongo ustaarabu hatuna
Yaan tulifiwa jamani tukazika watu wanakuja muda wa chakula unaona wamejaa,wakimaliza kula wanapotea ikifika muda wa kula hao ilibidi tutangaze walivyomaliza kula kuwa msiba umeisha tunawashukuru sana [emoji23][emoji23][emoji23] tukafunga na milango ya geti lasivyo wangeendelea kuja
Na hapo wamekuja rundo hawana hata rambirambi wamefuata nguo za marehemu, nilizigawa kwa hao ndugu na nauli nikawapa.Huu upumbavu sijui kwanini tunaulea!.
Sijui tufanye nini ili hii hali iishe maana inatesa sana!
Huwa naumia sana,halafu unakuta hata hayana aibu![emoji45][emoji45]Na hapo wamekuja rundo hawana hata rambirambi wamefuata nguo za marehemu, nilizigawa kwa hao ndugu na nauli nikawapa.
Mkuu acha tuyaache.
Tamaduni nyingi nu.za.kutupa hata kuchangushana harusini pia si sawa
Mkuu punguza hasira bado una maumivu ya kupoteza mtu muhimu focus hapo kwanza.[emoji26][emoji26][emoji26]Huwa naumia sana,halafu unakuta hata hayana aibu![emoji45][emoji45]
Uchoyo tu kama chakula kipo wapeni watu waleWabongo ustaarabu hatuna
Yaan tulifiwa jamani tukazika watu wanakuja muda wa chakula unaona wamejaa,wakimaliza kula wanapotea ikifika muda wa kula hao ilibidi tutangaze walivyomaliza kula kuwa msiba umeisha tunawashukuru sana [emoji23][emoji23][emoji23] tukafunga na milango ya geti lasivyo wangeendelea kuja
Nani aoshe vyombo?Uchoyo tu kama chakula kipo wapeni watu wale