Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Umasikini mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Nani aoshe vyombo?
Hayo maisha yapo kwenye jamii hii tuliyopo?Dah nimecheka utadhani mazuri, yaani mnakua hamlali. Mnachangishana Hadi kukopa kisa kuwalisha Watu wanaokuja kuwafariji! Si heri ukodi Watu wa kukufariji ujue Moja, msiba ukiisha unalipa invoice maisha yanaendelea
Yego chimura siga omururu ouja ukwita abhanu nomwekoHabari za leo wanajamvi? bila shaka mapambano yanaendelea kama kawaida!
Tuendelee kupambana sana na kusaka michuzi kwa udi na uvumba kana kwamba hatufi, na tuendelee kumuomba na kumwabudu Mungu kana kwamba tunakufa kesho!
Kwanza kabisa napenda kutoa masikitiko yangu kama mwananzengo kwa sintofahamu ambayo imeendelea kuikumba jamii ya kitanzania kwa sehemu kubwa kama si yote.
UMUGHAKA nimekuwa nikijiuliza huu utaratibu wa kipumbavu ni nani/akina nani waliyo urasimisha? Kumekuwa na kasumba ambayo sidhani kama nikiita ni upumbavu/ushenzi kama nitakuwa nakosea.
Misiba mingi kama si yote niliyowahi kuhudhuria, nimekua nikiona utaratibu wa wale waliofikwa na msiba ndiyo ambao wanahaha kuwalisha watu ambao wamekuja msibani kutoa pole/kufariji.
Na lazima niwe mkweli ya kwamba,hata sisi kwetu pia tumepata misiba mingi tu ya ndugu zangu na utaratibu huwa ni huo huo!,hili suala limekaaje wapendwa? Yaani unakuta waliofikwa na msiba ndiyo wanaumiza vichwa namna ya kuwalisha wanaokuja kuwafariji badala ya waliokuja kuwafariji wenye matatizo wao ndiyo ilipaswa wakae wakusanyane wananzengo ili kuwalisha waliofikwa na msiba!
Huu utaratibu ni mbovu sana na siungi mkono kabisa! Ni kwanini tusiwe na utaratibu tunapoenda misibani kuwafariji wafiwa kusiwe na utaratibu wa kuwalisha wafiwa pamoja na watakao hudhuria msibani? Yaani unakutwa watu wengi wanaoenda misibani ni kupiga soga tu na kusubiri kunawishwa wakati wa kula huku wanafurahia maisha kana kwamba ni sherehe.
Watu wengi wanaenda misibani si kufariji bali kupiga soga na kula!,huu ndiyo ukweli ukubali au ukatae!
Yaani mtu amefiwa na mpendwa wake halafu bado aumize na kichwa namna ya kuwalisha wananzengo!,hii kitu iko sawa kweli?,hivi hizi nguvu unadhani atakuwa nazo?,hii imepelekea hasa watu wenye kipato cha chini wanabaki kusimangwa na wananzengo hata bila aibu!,unakuta kabisa majirani wanaongea " Msiba wenyewe hata vyakula hauna,naona watu wamechungulia tu wamesusa",kabisa?
Lakini misiba ya watu wenye uwezo utasikia "Jamaa wanapika vyakula vizuri asikwambie mtu,unakula mpaka unasaza".
Hata kama mfiwa anao uwezo,ndiyo alishe wananzengo badala ya wananzengo kumlisha yeye?.
JE,huu utaratibu ni nani aliyeuanzisha?
Je,makabila yote ya Tanzania hufanya hivi?
Wenzetu mliotembea tembea huko ughaibuni,je hali huwa iko hivi kama huku kwetu.
Unakuta "Mijitu" inaenda misibani kwa ajili ya kula tu,ikishakula hiyoooooo inalala mbele!,hata aibu haioni!,unakuta jitu badala liende hata ndani kusalimia wafiwa lenyewe linakomea getini linapiga msosi halafu linalala mbele!!
HUU UTARATIBU HAUKUBALIKI
#USIPOBADILIKATUTAKUBADILISHA
#TIGHABHATEMWE
Uvivu huoNani aoshe vyombo?
Unavijua vyombo vya msibani shogaa yale masufuriaa
Kwakweli kuosha vyombo vya msibani ni shughuli pevu.Unavijua vyombo vya msibani shogaa yale masufuriaa
Nimekuelewa sana[emoji1666][emoji1666]Kwa kweli ustaarabu wetu ni mgumu sana jamii zetu za kitanzania.
Mtu kafiwa bila shaka katumia gharama nyingi tu kuuguza pia bado ana kibarua kigumu tu katika kusitiri marehemu.
Kiubinadamu nzengo ilipaswa kuwa na jukumu la kufariji na kushiriki mazishi kwa mwenzao huyo. Msiba ni jambo gumu sana kwa mwanadamu hivyo nzengo inapaswa kuwajibika effectively kwa kila hali na mali.
Wananzengo tunapaswa kusitiri marehemu ikiwemo na kuficha aibu ya umasikini lakini leo hii utakuta wananzengo wanaohudhuria msibani wako 200 lakini mchango wanaotoa kwa mfiwa hauzidi hata 200k na hapo wapo msibani si chini ya siku tatu hadi mazishi aisee inasikitisha sana.
Lakini hili ni suala la mindset tu ndugu zangu tunapaswa kubadilika. Hizo changes huanzia kwako wewe na mimi tuhurumiane na kuchukuliana matatizo na madhaifu yetu hapo jamii inaweza kubadilika.
Sisi wengine DINI yetu inakataza kabisa kitendo cha mtu ambaye si mfiwa kula msibani,usahihi ni kwamba wale wanao enda msibani ndiyo wanatakiwa kuwahudumia wafiwa.Habari za leo wanajamvi? bila shaka mapambano yanaendelea kama kawaida!
Tuendelee kupambana sana na kusaka michuzi kwa udi na uvumba kana kwamba hatufi, na tuendelee kumuomba na kumwabudu Mungu kana kwamba tunakufa kesho!
Kwanza kabisa napenda kutoa masikitiko yangu kama mwananzengo kwa sintofahamu ambayo imeendelea kuikumba jamii ya kitanzania kwa sehemu kubwa kama si yote.
UMUGHAKA nimekuwa nikijiuliza huu utaratibu wa kipumbavu ni nani/akina nani waliyo urasimisha? Kumekuwa na kasumba ambayo sidhani kama nikiita ni upumbavu/ushenzi kama nitakuwa nakosea.
Misiba mingi kama si yote niliyowahi kuhudhuria, nimekua nikiona utaratibu wa wale waliofikwa na msiba ndiyo ambao wanahaha kuwalisha watu ambao wamekuja msibani kutoa pole/kufariji.
Na lazima niwe mkweli ya kwamba,hata sisi kwetu pia tumepata misiba mingi tu ya ndugu zangu na utaratibu huwa ni huo huo!,hili suala limekaaje wapendwa? Yaani unakuta waliofikwa na msiba ndiyo wanaumiza vichwa namna ya kuwalisha wanaokuja kuwafariji badala ya waliokuja kuwafariji wenye matatizo wao ndiyo ilipaswa wakae wakusanyane wananzengo ili kuwalisha waliofikwa na msiba!
Huu utaratibu ni mbovu sana na siungi mkono kabisa! Ni kwanini tusiwe na utaratibu tunapoenda misibani kuwafariji wafiwa kusiwe na utaratibu wa kuwalisha wafiwa pamoja na watakao hudhuria msibani? Yaani unakutwa watu wengi wanaoenda misibani ni kupiga soga tu na kusubiri kunawishwa wakati wa kula huku wanafurahia maisha kana kwamba ni sherehe.
Watu wengi wanaenda misibani si kufariji bali kupiga soga na kula!,huu ndiyo ukweli ukubali au ukatae!
Yaani mtu amefiwa na mpendwa wake halafu bado aumize na kichwa namna ya kuwalisha wananzengo!,hii kitu iko sawa kweli?,hivi hizi nguvu unadhani atakuwa nazo?,hii imepelekea hasa watu wenye kipato cha chini wanabaki kusimangwa na wananzengo hata bila aibu!,unakuta kabisa majirani wanaongea " Msiba wenyewe hata vyakula hauna,naona watu wamechungulia tu wamesusa",kabisa?
Lakini misiba ya watu wenye uwezo utasikia "Jamaa wanapika vyakula vizuri asikwambie mtu,unakula mpaka unasaza".
Hata kama mfiwa anao uwezo,ndiyo alishe wananzengo badala ya wananzengo kumlisha yeye?.
JE,huu utaratibu ni nani aliyeuanzisha?
Je,makabila yote ya Tanzania hufanya hivi?
Wenzetu mliotembea tembea huko ughaibuni,je hali huwa iko hivi kama huku kwetu.
Unakuta "Mijitu" inaenda misibani kwa ajili ya kula tu,ikishakula hiyoooooo inalala mbele!,hata aibu haioni!,unakuta jitu badala liende hata ndani kusalimia wafiwa lenyewe linakomea getini linapiga msosi halafu linalala mbele!!
HUU UTARATIBU HAUKUBALIKI
#USIPOBADILIKATUTAKUBADILISHA
#TIGHABHATEMWE
Mantiki ya post yangu ilikuwa naijibu commemt #44 si vinginevyo!Mkuu wewe hayajakufika bila shaka
Acha hasira we mmakonde!Mimi kero yangu watani kwenye msiba,Msiba wa baba yangu(Allah akusamehe huko uliko)nilitaka nimtoe meno yule mtani bwege😕
Wala sio makonde utani ilikuwa kati ya sisi Wazigua na Waluguru wakatuchangia na Wasukuma😬Acha hasira we mmakonde!