Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

Chakula chochote cha shughulini kina.ladha ya tofauti [emoji3][emoji3], nimeamua nisijiendekeze nikienda kwenye mgao naomba kachumbali tu tena nione ilivyotengenezwa vinginevyo sili nakula kidogo sana labda tonge mbili basi, hiki chakula ukikizoea unaweza kuwa na tabia ya kutafuta maturubai yalipotundikwa ukakunje mguu na kapilipili na ndiziI yako mfukoni [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakuta "Mijitu" inaenda misibani kwa ajili ya kula tu,ikishakula hiyoooooo inalala mbele!,hata aibu haioni!,unakuta jitu badala liende hata ndani kusalimia wafiwa lenyewe linakomea getini linapiga msosi halafu linalala mbele!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mdogo wangu walimwambiwa kamuua baba ili avae viatu msibani akawaambia "nisubirini kidogo nakuja wakajua wanaletewa hela za utani jamaa katoka na panga na utani iliisha palepale, Hadi sasa wanamwita mapanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utani wa pesa
Nmekumbka kaka angu alimuwasha vibao mtani kisa alikua anamsumbua baba kutaka pesa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila alikalishwa chini na babu na baba walimsema sana. Akatoa elfu 30 km kipozeo kwa yule mtan, ilikua msiba wa baba mkubwa.
 
Bora huyo mtani wenu kuna mwingine alitaka kuchukua mke eti utani aisee. kwamba Marehemu kamuachia mke halafu jamaa yupo serious balaa
Mimi sitakiii kabisa huu ujinga unao itwa utani 😬😬
 
Mwanadamu ana sikukuu kuu tatu.
1. Kuzaliwa
2. Kuoa au kuolewa (japo zi wote wanaobahatika kusherehekea sikukuu hii)
3. Kufa
Hivyo chakula ni muhimu kwa sababu ni sikukuu kwa huyo aliyeondoka. Sasa sikukuu unataka nani achangie tena?? ninavyojua watu wanaokuja msibani huwa wanachanga kiasi. Cha maana misiba isiwe ya siku nyingi
Mkuu kwa hiyo kwa tafsiri yako msiba ni sikukuu?,hebu nieleweshe kidogo
 
Tulienda zika binamu yetu huko sengerema, aisee si watani wakazuia jeneza lisiingie kaburini. Yani mmewe alikuwa anauchungu wao wanaleta mzaha. Nilitamani jingekuwa na gobore nimpige mtu shaba ya kalio
Wanakera kichenziii
 
Sijui,lakini kwa mujibu was tararibu za kiislamu,penye msiba mnahudhuria kwa ajili ya pole na maziko,katika uislamu maziko ni ibada ,kwa hiyo kinachofuatwa pale ni ibada ya maziko,na kwenye ndoa ,a kiislamu pia kinachofuatwa ni tendo la kushuhudia ndoa ikifungwa nayo ni ibada.vyakula ni mapendekezo ya wenye shughuli so lazima,katika dini zingine sifahamu tararibu zao.[emoji120][emoji120]
 
Mkuu kwa hiyo kwa tafsiri yako msiba ni sikukuu?,hebu nieleweshe kidogo
Ni sikukuu mheshimiwa. Japo anayefanyiwa sikukuu haioni au hashiriki, sawa na ya kuzaliwa hajui wala hatokumbuka labda ataonyeshwa picha
 
Vitunguu
Yaan ila watu msiban wanapenda nyama jamani sijui ni adimu sana nyumbani hakuna uhakika wa kupata nadhan


Nyama ni gharama kununua kwahiyo wakipata ya bure wanajipendelea kidogo😀
 
Mazishi ni kazi yako,haituhusu

Tunakuja kukupa emotional support

Hadi waliaji ni bora ukakodishe

Nani kakwambia watu wanapokuja msibani kwako wanapokula ni kwamba wana njaa sana na hicho chakula chako?

Maana unasahau kati ya siku 365 wamkula kwako siku moja,hizo siku 364 unawalisha wewe?

Kifo ni issue personal kwako,hakuna mtu akusaidie lolote,wanakusaidia sababu tu wametaka,hawana incentive yeyote kusaidia wewe lolote na msiba wako.

Na wanapokuja mazishini nani kakwambia uwape chakula au unajipendekeza tu kuwapa?

Chakula uwape wewe then uje hapa kulalamika eti wamekula?

Nani kakwambia uwape to begin with?
Hivi umeilewa hoja mkuu au umekurupushwa kwenye harakati za kufumaniwa unataka hasira umalizie hapa?
 
Back
Top Bottom