Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

Vingi vya vyakula vinavyoliwa kwenyi baadhi ya misiba(mingi) ni kafara.
Baadhi yavyo ni maelekezo ya kishirikina yaliyoelekezwa kwa wanufaika na kifo cha mhusika.
Sisemi yote ila baadhi. Na katika hii baadhi kama wewe ni mgeni kwani ugeni wako ni mwaliko wa harusini hata uhudumiwe kwa vyakula? Kama kuna ulazima wa kula kwa nini kila mtu asiende na chakula chake?
kwani kifo na sherehe Kuna tofauti gani, kifo hakuna maandalizi Lakini sherehe zinamaandalizi, kwa hiyo sherehe Zina kafara
 
Unakuta "Mijitu" inaenda misibani kwa ajili ya kula tu,ikishakula hiyoooooo inalala mbele!,hata aibu haioni!,unakuta jitu badala liende hata ndani kusalimia wafiwa lenyewe linakomea getini linapiga msosi halafu linalala mbele!!
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
 
Wabongo ustaarabu hatuna
Yaan tulifiwa jamani tukazika watu wanakuja muda wa chakula unaona wamejaa,wakimaliza kula wanapotea ikifika muda wa kula hao ilibidi tutangaze walivyomaliza kula kuwa msiba umeisha tunawashukuru sana [emoji23][emoji23][emoji23] tukafunga na milango ya geti lasivyo wangeendelea kuja
Nyie mtakua kauwezo mlikuwa nako hivyo mlikuwa mnapika vizuri waja wakapata pakuponea.
Ila kuna watu wana tabia za ajabu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] msilete masihara na maisha nyie!!!

Yani Fogo mmepaki ma Vieite utulishe wali chainizi dharau gani hizi?[emoji28]
Chainizi zenyew zilivyo mbaya sasa mi nazionaga kama mgomba
 
Sisi wengine DINI yetu inakataza kabisa kitendo cha mtu ambaye si mfiwa kula msibani,usahihi ni kwamba wale wanao enda msibani ndiyo wanatakiwa kuwahudumia wafiwa.

Tangu nilipopata hii Elimu kwenye dini yangu sikuwahi tena kula msibani na sitokula tena,huwa wakati wa kula ukifika natoka kidogo.
Umeniongezea kitu ndugu
 
Mimi kero yangu watani kwenye msiba,Msiba wa baba yangu(Allah akusamehe huko uliko)nilitaka nimtoe meno yule mtani bwege[emoji53]
Mdogo wangu walimwambiwa kamuua baba ili avae viatu msibani akawaambia "nisubirini kidogo nakuja wakajua wanaletewa hela za utani jamaa katoka na panga na utani iliisha palepale, Hadi sasa wanamwita mapanga
 
Chakula chochote cha shughulini kina.ladha ya tofauti [emoji3][emoji3], nimeamua nisijiendekeze nikienda kwenye mgao naomba kachumbali tu tena nione ilivyotengenezwa vinginevyo sili nakula kidogo sana labda tonge mbili basi, hiki chakula ukikizoea unaweza kuwa na tabia ya kutafuta maturubai yalipotundikwa ukakunje mguu na kapilipili na ndiziI yako mfukoni [emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀😀
 
Mdogo wangu walimwambiwa kamuua baba ili avae viatu msibani akawaambia "nisubirini kidogo nakuja wakajua wanaletewa hela za utani jamaa katoka na panga na utani iliisha palepale, Hadi sasa wanamwita mapanga
😀😀😀

Eti mapanga.
 
Mimi kero yangu watani kwenye msiba,Msiba wa baba yangu(Allah akusamehe huko uliko)nilitaka nimtoe meno yule mtani bwege[emoji53]
Hao wamebaki kwenye mikoa michache..kwetu ukijaribu unaweza kuacha roho chap
 
Utakuta mtu anakuja msibani na rambirambi ya buku lakina anataka buffet ya kuku na mazagazaga mengine.
Misiba inatumika kama sehemu ya kubadilisha diet.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo ustaarabu hatuna
Yaan tulifiwa jamani tukazika watu wanakuja muda wa chakula unaona wamejaa,wakimaliza kula wanapotea ikifika muda wa kula hao ilibidi tutangaze walivyomaliza kula kuwa msiba umeisha tunawashukuru sana [emoji23][emoji23][emoji23] tukafunga na milango ya geti lasivyo wangeendelea kuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo tabia wapishi majirani yaani hawa walioshiki msiba wanaweza kosa nyama zote zinafichwa, sisi tulikuwa tuna nunua kilo kumi kila siku baada ya mazishi zile siku tano za matanga (miaka ya nyuma sana) matokeo wanapika kilo mbili zingine zinafichwa stoo ati wanapelekea watoto wao siku tulipoziona na kuzitoa wakatususia hawakuja tena kupika [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuachane na yoooote, kwanini Wali wa kwenye msiba hua mtamu namna ile???? Hua una ladha flani hivi amazing wakikuwekea na Maharage na kachumbari, alooooooo, [emoji39]

Btw, hua sipendi kula Nyama msibani yaani siwezi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini?
 
Back
Top Bottom