Utaratibu wa wafiwa kuwalisha waombolezaji wengine umerasimishwa Tanzania?

Kama hujalipenda jibu langu basi lifute ujiandikie jibu unalolipenda wewe halafu ufurahi!

Maana ni very corny mtu unapolazimisha watu watoe majibu unayotaka wewe

Kama majibu tayari unayo kichwani,ya nini umeleta uzi hapa?
Mkuu na wewe unataka ukiwa unaenda msibani unaenda kulishwa?
 
Unanifundisha jinsi ya kuelewa?

Wewe umeandika,kazi ya kuelewa ni yako au yetu?

Wewe nani anakwambia uingilie kazi isiyokuhusu?

Uandike wewe,uelewe wewe,ushurutishe watu wajibu unavyotaka,etc....who the fvck you mzee?
Kazi kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku kwetu watu wanathamini Sana Kula ila uzuri ni kwamba wanajamii wanachangia Sisi kwetu msiba ulitokea ilibidi madume wachinjwe na ukikaa vibaya unaweza kubakiwa na madeni Kwa sababu mchango wa jamii unaweza usitoshe Kwa sababu watu wanathamini Kula.
 
Yes!,kuchangia ni utaratibu mzuri sana lakini si kwamba familia ya wafiwa ndiyo ibebe mzigo
 
Sisi kabila yetu gharama za hivo vyakula vinatoka kwa majirani wanaokuzunguka ,Kijiji kizima inachanga na usipochanga siku na wewe ukipata shida unatengwa ,hata utaratibu wa kula wale wa mbali ndo wanatangulia ili hata msosi ukiisha wale majirani siyo ishu
 
Utakuta mtu anakuja msibani na rambirambi ya buku lakina anataka buffet ya kuku na mazagazaga mengine.
Misiba inatumika kama sehemu ya kubadilisha diet.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Huo ni utaratibu mbovu sana. Ila taratibu ya ukweli ni kila mgeni mwenye uwezo kunakuwa na daftari unachangia kiasi unachoweza kutokana na uwezo wako.

Huko nyuma wengine walileta magari, yao, nyama, ngombe, wapikaji, mchele, Waimbaji (wafariji), wachimbaji wa kaburi nk.
 
Shida misiba ya kariakoo wanafunga mtaa na biliani ya kufa MTU tena basmat kabisa afu ikafuatia mitaa ya Ilala, magomeni na Sasa hadi Tandale humnywishi MTU ule uji wa mchele kwenye kifuu.
Jingine wameiga hadi mambo ya sare misibani
 
Umefiwa unaulizwa kuni ziko wapi *****,wakat wa kuuguza ulkuwa peke yako na unakuta umetumia gharama kbao,dunia haiko fair
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…