Utata gharama za utengenezwaji uwanja mpya wa mpira Arusha

Utata gharama za utengenezwaji uwanja mpya wa mpira Arusha

Upeo wako ndugu mbona upo kwenye scope ndogo sana? Ni kama macho yako yanaona moja kwa moja pale ulipo tu na jamii inayokuzunguka. Swala limekuwa mada kila sehemu halafu unasema hakuna utata.mawazo ya ubinafsi kabisa kwa kudhani kila mtu anaona sahihi kama wewe unavyoona.ni sawa na mtu aliyeshiba sana kuona mtu anayeenda kula ni kama mjinga
why unakimbia ukweli,
Watanzania wengi hawataki kutumia mda wao wa free kujifunza vitu vya msingi na wengine wakizani elimu ya fani zao za chuo zinatosha.
Hapo nenda mtaani uliza watu juu ya Hisa au Hati fungani, halafu uliza watu juu ya mambo ya Mamelodi na malipo ya wacheza mpira.

Kupanga ni kuamua,Tuache kuwa jamii ya kulalamika, kwasasa maarifa ya kila jambo yapo yanapatikana mtandaoni, ni suala mtu kuamua kujifunza ama kutojifunza.

Jamii hiyo hiyo unajua
-hesabu zote za kubet
-sheria na facts zote za mpira
-umbea wote unaondelea duniani.
Ukiona elimu gharama, Jaribu ujinga.
 
Hoja nzuri
Swala si gharama pekee, awala ni kwanini watu 30,000?? Hawaangalii future? Alafu hizi olympic stadium za nini? Tunataka football stadium
Dar ina watu takribani million 6,ina uwanja wa kuchukua watu 60,000
-Ulijengwa Dar ikiwa na watu million 3.
-uwanja hujaa kwenye mechi za simba akicheza na Yanga tu
-mechi kubwa za kimataifa.

Arusha mjini ina watu 900,000 tu.Kumbuka
-Kaskazini siyo watu wa mpira
-Hapo Ondoa idadi ya watoto chini miaka mi5,wagonjwa na walio jela...

Hata baada ya miaka 10,bado huo uwanja utatosha.
 
Dar ina watu takribani million 6,ina uwanja wa kuchukua watu 60,000
-Ulijengwa Dar ikiwa na watu million 3.
-uwanja hujaa kwenye mechi za simba akicheza na Yanga tu
-mechi kubwa za kimataifa.

Arusha mjini ina watu 900,000 tu.Kumbuka
-Kaskazini siyo watu wa mpira
-Hapo Ondoa idadi ya watoto chini miaka mi5,wagonjwa na walio jela...

Hata baada ya miaka 10,bado huo uwanja utatosha.
Miundombinu haijengwi kwa kuangalia miaka 10,20 ijayo! Miundombinu inapaawa kujengwa kwa kuangalia miaka 100, 200 ijayo! Alafu kwa mashabiki wa mpira mnatuonea kwa kujenga pitch mbali na mashabiki kwa hizo olympic stadium, Kwanini msijenge football stadium?
 
Miundombinu haijengwi kwa kuangalia miaka 10,20 ijayo! Miundombinu inapaawa kujengwa kwa kuangalia miaka 100, 200 ijayo! Alafu kwa mashabiki wa mpira mnatuonea kwa kujenga pitch mbali na mashabiki kwa hizo olympic stadium, Kwanini msijenge football stadium?
After 30 years ,idadi ya watu Tanzania itaanza kuji balance ,haito ongezeka tena bali itabaki hapo hapo...na Arusha bado haitofikisha watu millioni 4.

Why ujengwe uwanja ambao hata baada ya miaka 30,bado hautotengeneza faida....

Bado tunahitaji shule, vyuo,Hospitali,barabara na mifumo ya maji.
Nchi nyingi zimeumia kwa kujenga maviwanja makubwa kisa mashindano, now yamebaki empty
 
Back
Top Bottom