Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Nilishangaa watu kumpa mgogo bunge, mgogo huwa hana msimamo, anaweza kukukaribisha mtu baki am satisfy mkewe ili apate chochote
Mgongo ana matatizo ya akili. sio story ni mambo yanafahamika kabisa
 
Unapumuliwa nn
msijitoe ufahamu nyie jitu life na maukimwi yake huko mje mtujazie thread hapa kwanza kwa taarifa yenu ingekua nchi nyingine huko huo urais angeusikia kwenye redio limtu lina migonjwa yote mikubwa hadi moyo unasukumwa na mabetri bado likalazimishiwa urais leo mtu ana akili kama chalamila anatoa povu mxiiiuuuu
 
msijitoe ufahamu nyie jitu life na maukimwi yake huko mje mtujazie thread hapa kwanza kwa taarifa yenu ingekua nchi nyingine huko huo urais angeusikia kwenye redio limtu lina migonjwa yote mikubwa hadi moyo unasukumwa na mabetri bado likalazimishiwa urais leo mtu ana akili kama chalamila anatoa povu mxiiiuuuu
mlamba matako wa kigogo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Unao uthibitisho ana magonjwa yote makubwa unayo yasema ?.
Pacemaker ni kifaa cha kawaida sana na wala sio ishu katika kuongoza taifa.

Maraisi na viongozi wengi tuu duniani wanaumwa Cardiovascular Diseases unajua hilo ? ?
Ni bora pacemaker kuliko kuwa raisii kiwete, Raisi wa wapi uliona anatembea na magongo ?
Franklin Roosevelt alikuwa mlemavu anatembea na Magogo au Wheelchair
 
Unao uthibitisho ana magonjwa yote makubwa unayo yasema ?.
Pacemaker ni kifaa cha kawaida sana na wala sio ishu katika kuongoza taifa.

Maraisi na viongozi wengi tuu duniani wanaumwa Cardiovascular Diseases unajua hilo ? ?
Ni bora pacemaker kuliko kuwa raisii kiwete, Raisi wa wapi uliona anatembea na magongo ?

Ishu ya Maukimwi, Corona etc etc. Ni mpango mkakati uliokuwa na malengo maalumu.
 
Katika Lugha nyepesi kabisa, kazi ya kifaa cha Pacemaker ni kuratibu mapigo ya moyo.

Ni katika mazingira magumu sana kifaa hiki kuleta shida. Aidha, Kutokana na evolution ya technology, mfumo wa kifaa hiki unaweza kuharibiwa kwa kutumia data base na access code zilizotumika ku program kifaa.

Unahitaji kupata access ya zile code kisha uwe na muhusika umbali mdogo ili kuharibu mfumo wa kifaa kwa kukihamuru kusababisha shock na kufanya mapigo ya moyo kutorandana tena.

Kama kutakuwa hakuna wataalamu wa kuliona hilo kwa haraka na kuwahi kukibadili kifaa, hatari itakuwa ni kubwa kwa maana muda mwingi utapotezwa kwenye first aid za ku support maisha yake badala ya kuondoa kifaa kilichoharibiwa mfumo.

JPM alivyokuwa anahudhuria mikutano yake na kujichanganya na watu, ni dhahiri kwamba ilikuwa ni rahisi kwa mtu mwenye nia ovu kutekeleza dhima hiyo kwa msaada wa Mabeberu na vibaraka wa ndani.

Je kitengo cha PSU kilichukua tahadhari ya uwepo wa technology hii, ? Na Kina hao wataalam na je wapo aware technically?
 
we nawe una ujinga mwingi unaweka habari kwenye kiblog chako una screen shot kuleta hapa kama evidence.
 
Kijana, hoja hupingwa kwa hoja. Tumesema Tangu mwanzo, this discussion needs open mind
Open mind ambayo huwezi hata kuona dalili ya mvua kuwa ni mawingu? mimi hoja yangu kubwa hapa ni suala la mtu kuwa na afya mgogoro na kupewa madaraka makubwa ya nchi yanayohitaji utulivu na umakini wa hali ya juu kisaikolojia na pia kiakili mentally ,

ndiomaana nikasemsa vinchi vyetu hivi pekee ndio kila kitu kinafanyika bila utaratibu, nikaenda mali zaidi nikasema huwezi on earth mtu mwenye matatizo makubwa ya kiafya kupewa urais haiwezekani, kwakua huku kwetu ni wapiga ramli hata kwa mambo obviuos ndio maana nikasema tuendelee na ujuha wetu period,

sijasema lolote kuhusu Bandari ya Bagamoyo na by the way nimeshachangia kwenye nyuzi nyingine kwamba mkataba wa hiyo bandari haujawahi kuwekwa hadharani ili ijulikane hiyo miaka 100,99, ama 50 inayosemwa ilikuwawemo kwenye mkataba, nikashauri mwenye huo mkataba aulete hapa upitiwe mstari kwa mstari neno kwa neno.

Hoja yangu hapa ni afya ya mwili na akili katika uongozi wa nchi , hapa hawaongozwi ng'ombe ni watu tena wengi zaidi ya milioni 60 nadhani umenipata na mimi sio kijana kama wewe
 
Sijawahi kutulia shaka maamuzi ya JPM katika mambo muhimu yanayohusu maendeleo ya taifa la Tanzania

Kama JPM alisema huo mradi hautufai basi ni kweli hautufai full stop
 
Hata Kifo cha JFK awali ilisemekana ni allegations tu na Conspiracy theory. Kwa Sasa kila mtu anajua kuwa Kennedy was assassinated tena kwa msaada wa watendaji wake waliompangia safari na kuiratibu. Alikuwa assassin kwa sababu aligusa interest za establishments

Haya mambo needs strong mind to discuss
Nowdays strong minds discuss personal issues ndio maana uwaoni kwa sasa, kama wapo wamefungwa midomo pengine kwa sababu za usaliti na uzandiki wao.

Ndio maana ipo haja ya kuunda Task Force ya Miradi ya kimkakati ili ifanye analysis ya miradi yote nchi nzima (short & long term),na ije na mapendekezo /vipaumbele.

Wataalamu washauri wapo wamejaa tele.
 
Ule mkataba wa ujenzi wa mradi wa bagamoyo si ulivunjwa na Mh JPM ?.
Na alitueleza sababu zilizokua za msingi juu ya alicho kifanya

Hawa wanaopigia debe wanaweza kutuambia kwamba, je alicho sema JPM ni Uongo na kama Ni Uongo Ukweli ni Upi
Why JPM hakuuweka wazi huo mkataba ili na raia wauzoom?.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini taarifa ya CAG inatafsiriwa ni mpango wa kumchafua hayati?kwani haiwezekani kuijadili taarifa bila kuingiza suala la hayati?
Huoni kama now watu tunaishi kama hakuna Corona.

Je, CAG kutoka hadharani kipindi hiki na kutoa hayo tunayoyasikia it means alikuwa na Taarifa 2 . Sasa hii Taarifa ya 2 ndio anatumia kumchafua JPM kwa maagizo ya mabwana.

Muda utaongea
 
1. Vyombo vya Habari viwe Uhuru ili watanzania ambao walikuwa kwenye kifungo cha miaka 5 dhidi ya uhuru wao wa kutoa maoni wawe uhuru kujadili miradi isiyokuwa na uwazi kwa Taifa la Tanzania.

2. Tumeshuhudia Kifo cha JPM ambacho kina utata mwingi na maswali mengi yasiyojibika. Baada ya kifo hiki hata zile speed za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana. Lakini muda ndiyo HAKIMU wa Kweli.

View attachment 1750423


View attachment 1750424

3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.

4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa letu huku yeye akiwa ni sehemu ya serikali iliyosimamisha huo mradi.

5. Tulitarajia kuona DISCUSSION ya kwanza ya huu mradi ni wananchi kuuelewa na kuona je kuna ulazima wa huu mradi, faida na hasara zake juu ya Taifa Hilo. Ielezwe pia Why Bagamoyo ? Je ni sehemu pekee yenye mlango mpana kwa TZ ?

6. Ijadiliwe terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, tuone je zinafaida kwa taifa letu au ni hasara za long term kama tunavoona hasara za mwendo kasi na majumba yaliyogeuka kuwa magofu ya NSSF Huko Kigamboni.

Tunamsikia spika anaanza kuwa na defensive speech kuwa HAKUNA ANAYETAKA KUUZA NCHI!

Are we stupid or what ?

Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature kwenye majadiliano ya HOJA hasa kwa maslaha ya Taifa.

There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.


7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.

View attachment 1750421

Swali la msingi ni Procurement Proceedures gani zilitumika kumpendekeza huyu Mtu ? Je Procurement Act dhidi ya Public Private Partnership inasema nini ?

Tunapiga kelele na CAG report ya sasa, kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza ndio mje kusema tulikuwa tunaibiwa. Haya ya sasa ni muendelezo wa kipindi cha 13/14

Mradi huu ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni. Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.

Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa

——

Sawa. “Mjadala mpana na uwazi” unahitajika kuhusu mradi huu. Certainly. LAKINI Je, wakati JPM anausimamisha, mkataba wake uliwekwa wazi na kujadiliwa bungeni? Wananchi waliweza kutoa maoni yao?

Kuna miradi mingapi ya kitaifa inapitia adha za aina hii na kubaki kuwa siri ya Ikulu na vikundi shirika vya wajanja? Rais akibadilika, vipaumbele vinabadilika na kauli zinabadilika! This is BS!

Kusipokuwa na uamuzi wa ujumla (global decision) kuweka uwazi katika mikataba ya miradi ya kitaifa, tutaendelea kushuhudia watu wakibadilishana “zamu za ulaji” na wananchi wakibakia kama mashabiki.

Kuna kila dalili sasa kwamba huu mradi unajadiliwa kama “vita” kati ya “wafuasi” wa awamu ya JPM na ile ya JK. Hili ndilo janga (tragedy) lililoletwa na CCM nchini. Katiba madhubuti inahitajika kudhibiti uhuni kwenye miradi na uwekezaji muhimu kitaifa.
 
View attachment 1750476



View attachment 1750478

Kifo cha JPM kinatakiwa kifanyiwe uchunguzi wa kina hasa kwa haya yanayoendelea.

Japo kwa Sasa anachafuliwa sana na hili li report na 2 la CAG, huyu mzee alifanya makubwa yaliyoumiza wengi sana wakiwepo part of the establishment kwa manufaa ya Taifa letu.

Kupitia maumivu Ikawa ni rahisi kutengeneza division ndani ya PSU.

Ukweli ni kambwa kifo cha JPM kiwe Documented kwa uchunguzi. Kina maswali mengi kuliko majibu kwa wenye TAFAKURU na wasio na MIHEMKO . Kadiri muda unavyozidi kwenda ukweli unaanza kujidhihirisha.

This face tells all ,

View attachment 1750483

China walishirikiana na Western countries this time? [emoji848]
 
Some audio clips are starting to circulate voicing discontent.

Because warble charts have no place in serious situations.

There is a need for public enquiry.

Public inquiry? Who’s gonna spearhead that beside the CCM dons balanced, at best, by the others who you don’t trust? This seems to be a lost cause.
 
Katika Lugha nyepesi kabisa, kazi ya kifaa cha Pacemaker ni kuratibu mapigo ya moyo.

Ni katika mazingira magumu sana kifaa hiki kuleta shida. Aidha, Kutokana na evolution ya technology, mfumo wa kifaa hiki unaweza kuharibiwa kwa kutumia data base na access code zilizotumika ku program kifaa.

Unahitaji kupata access ya zile code kisha uwe na muhusika umbali mdogo ili kuharibu mfumo wa kifaa kwa kukihamuru kusababisha shock na kufanya mapigo ya moyo kutorandana tena.

Kama kutakuwa hakuna wataalamu wa kuliona hilo kwa haraka na kuwahi kukibadili kifaa, hatari itakuwa ni kubwa kwa maana muda mwingi utapotezwa kwenye first aid za ku support maisha yake badala ya kuondoa kifaa kilichoharibiwa mfumo.

JPM alivyokuwa anahudhuria mikutano yake na kujichanganya na watu, ni dhahiri kwamba ilikuwa ni rahisi kwa mtu mwenye nia ovu kutekeleza dhima hiyo kwa msaada wa Mabeberu na vibaraka wa ndani.

Je kitengo cha PSU kilichukua tahadhari ya uwepo wa technology hii, ? Na Kina hao wataalam na je wapo aware technically?
Gari nyeusi kwenye misafara yake yenye antenna nyingi nyingi🤔
 
sasa hivi mtasikia mkuu wa mkoa wa puani ni XHAO WI PUNG......haya makelele ya mitandaoni tunasukuma vipi huu mkataba uwe hadharani au ufutiliwe mbali......ndugai anafaa kuuwawa........mnawakumbuka MAUMAU ya kenya.....ni vuguvugu la kulinda na kumiliki mali za wazawa wenyewe na walifanikiwa.........tunaanzaje.......wabunge wote wala rushwa.....tunategemea nini??? kuwa wakimbizi nchini mwetu....hakuna muda tena.....jeshi letu liwe imara kudhibiti hizi vitu...
 
Why JPM hakuuweka wazi huo mkataba ili na raia wauzoom?.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jamani hivi walikuwa wamefikia hatua ya kutayarisha mkataba?

Nadhani bado yalikuwa majadiliano yaliyozalisha rasimu ya awali kabla ya mkataba wenyewe,lakini sidhani kama mkataba huo upo, kama upo basi kuna mtu anao mfukoni

Kina Ndugai wanajaribu kupima upepo ili uhalalishwe na hatimae usainiwe, waliokasirishwa na kusitishwa kwake wacheke kijino pembe.
 
Back
Top Bottom