Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

mungu aiweke roho yake peponi...hii taarifa ipo hapa wiki sasa kwa thred tofauti tofauti au kuna kitu kinatafutwa???
kila jukwaa ukienda ipo
 

one of his post..
 
Ukiua kwa panga na wewe utauawa kwa upanga, huwa wanajisahau wanapopata nafasi.
 
Poleeni kwa wote na wanafamiliya wapate farji na subira kuhimili msiba huu wa kusikitisha.

Siye niviumbe tumekuja na tutarudi kwa Mwenyeezzi Mungu.
rambirambi zetu.
 
Huu uandishi wa kizuzu-magic bwana. Hayo ni maelezo mbona ni mtiririko wa mambo yalivyokenda na hayana uhusiano wowote na kichwa cha habari!
 
Inside job.... useremala wa taifa at their best..
 
wakiambiwa idara imechafuka wameasi,hawaaminiani,kuna mamafia na wafia nchi kati yao Zoka huwa anakataa aseme sasa manake hatusikii polisi wanafuatilia au nani na nani anahojiwa au usalama wa taifa kufa kwa kubinywa kwenye visima vya maji ni halali yake duh nchi hii
 
Mwili huo ulifanyiwa uchunguzi (post mortem) na wanandugu waliruhusiwa kuuchukua tayari kwa mazishi.................................... lakini majibu ya uchunguzi hayajapatikana

Hadithi za usalama wa Taifa zinanichefua sana, unaweza kukuta na yeye ni mmoja wa wanausalama ambao inadaiwa wamechoshwa na jinsi usalama wa Taifa unavyo fanya kazi zake hivyo kudaiwa kuanza kutoa siri za Serikali kama zinavyoibuka hizi siri za Youtubes ya lwakatare, kuforward ma e-mail ya akina michuzi n.k
 
Ni Mtu MJINGA tu ndiye anaweza kuua kwa njia hiyo halafu akajindanganya ameficha ushahidi. Kujua hilo kwa kufanya post motern ni rahisi sana hata kwa MD 4.

Mtu aliyekufa kwa kutumbukia kwenye maji ukimfanyia post moterm mapafu yake yanakuwa yamejaa maji.

Mtu aliyeuawa (akiwa hayuko majini) halafu akatumbukizwa majini (kisima) baada ya kuuawa mapafu yake yanakuwa hayana maji.
 
mzee unaonyesha ww nimtaalamu, hizo mbinu ulizotoa hapo hauko mbali na hao jamaa.
 
Mtume Lasul! Hakyanani sikujua kama jf kuna mainteligencia kiasi hiki! kila wazo linalotolewa humu kuhusiana na tukio ni sahii kabisa!


...usiogope hawa vijana woote wamefuzu intelijensia shirikishi,so kukusanya udaku sio ishu sana kwao....
 
...usiogope hawa vijana woote wamefuzu intelijensia shirikishi,so kukusanya udaku sio ishu sana kwao....
Manake mimi nilidhani wanaishia kwenye polisi ya kijamii tu, kumbe mpaka huku ushirikishwaji upo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…