hata hayo majibu ya uchunguzi waliyoahidiwa 'yatatengenezwa ' , Ushahidi wangu wa kimazingira unaonyesha bila shaka yoyote kwamba 'ameshughulikiwa '! Pole Mama Mjane uliyeachwa .
wewe utakua huijui uwt machizi wa kiukweli wako kibao na system hiyo hiyo(kazi) ndo imewafanya wa creck
I am right beside you. This is very Serious!!.........Hapa napita taratiiiibu..
SERIAL DEATHS OF SPIES IS NOT SOMETHING UN-USUAL ,ITS ONLY THIS WEEK THAT WE LEARNED THAT IT WAS IMRAN KOMBE INFACT WHO ORDERED MORINGE SOKOINE"S PERSONAL BODYGUARDS TO HEAD TOWARD MONDULI INSTEAD OF ACCOMPANY HE FORMER PREMIER TO ROAD TRIP TO DAR......FEW PEOPLE KNOW THAT WHEN IMRAN WAS KILLED HIM AND HIS WIFE WERE ON THE WAY TO FLEE THE COUNTRY TO CANADA AFTER SMELT FISH....ON HIS ROLE AHEAD OF 1995 ELECTIONS...
.....THE THEN DEATH OF ANOTHER SPY THIS WEEK IN THERE COMPOUND ...IS NOT SOMETHING NEW...TWO YEARS AGO FORMER CHIEF JUSTICE BOARDGUARD WAS FOUND DEAD ..IN SUSPECTIVE ENVIRONMENT..IT WAS QUICK COVERED ....
WE DONT KNOW THE REASON FOR YET AGAIN THIS LATEST ONE....ONE THING IS WE ARE NOT SUPPOSED TO WASTE OUR VOICES SINCE IN SPY PROFFESSION THERE IS A PRICE TO PAY WHEN YOU ARE CONSIDERED A THREAT A TRAITOR ....WHO KNOWS ...MAY BE THIS IS A MESSAGE TO SPIES INVOLVED IN RECENT LEAKAGES .....,
COMING ACROSS ANY TOP SECRET IS ANOTHER REASON TO DIE ..PASSIONATELY IF YOU ARE CONSIDERED NOT STRONG ENOUGH TO KEEP SECRET....
THEY WERE SWORN TO DIE THESE KIND OF DEATHS ....SO FOR LOVED ONE BURY YOUR DEAD ..YOU HAVE NOTHING TO ASK !!!!! LIFE GOES ON!!
Inasikitisha sana, sasa hicho kisima kinalindwa vipi na kwa nini hicho kisima kipo wazi hakina udhibiti wowote.
kifo na uhai ni vitu visivyoweza kutenganishwa ukiwa jasusi. mengi yatasemwa sana lakini marehemu ndiye aliapa kufia huko. Ukishaingia huko ndugu hawana mamlaka ya kuihoji jamhuri na ndio maana ya kiapo. Huko unaweza kufa kwa kifo cha kawaida au kufa kiutata kama utakiuka kiapo. Jamaa yangu aliyeko huko anasema huyo jamaa alikuwa na matatizo ya akili na alikuwa kwenye matibabu kwa muda mrefu hata ndugu zake wanafahamu kuwa Idara hiyo ndio ilikuwa inamtibu tangu apate tatizo hili hadi kifo chake. Kifo hicho kinahusishwa na tatizo hilo. Na akasema ndio sababu marehemu alifia katika kisima cha hospitali akiwa katika mwendelezo wa matibabu.
Jason bouney jitokeze kwenye jukwaa, maana wasiwasi umeanza kuwaingia wanajukwa kuwa kuna uwezekano we ndo ukawa huyo afisa usalama, kwani mara ya mwisho kuingia humu ni tar 27.05.2013 siku ambayo afisa usalama alipotea. Tutoe waswas bro ingia jf