Tetesi: Utata kuhusu chanzo halisi cha utajiri wa Jumanne Kishimba

ilibakia kidogo sana nimuowe Hadija kishimba tulikutana India akiwa masomoni, ni binti mmoja taanusi sana hivi na hapendi kudharau watu si mtu wa kujikweza, najua aliemuoa ameramba bingo sana.
 
Sidhani kama ni kweli, wenyeji wa kagongwa _ Kahama tutaelewana vizuri. Kuna jamaa yangu ambaye anamuita Kishimba mjomba anasemà hakuna cha ndumba wala uganga huo utajiri ni wa ukweli.
 
Nakumbuka hiyo miaka ndio namalizia malizia primary school Tabora kishimba alikuwa maarufu sana na ndio ilikuwa chachu vijana wengi kanda ya ziwa kukimbilia wakati huo inaitwa zoo (mwanza)
 
Hapa umekuja uwaweke watu mkao wa kuwapiga. Kama ulivyofanya kwenye story ya jumba ngemba...ukakimbia uzi. Sasa nadhan umekuja na gia nyingine.
 
If i wanted to do it i could have done it but differently.not this way.i am not a con artist.

Hahaha u know what? Inaonekana umelipenda wazo langu but unachukia kwanini umelipenda. U wish it was u.U live in denial .
 

subiri na wewe
 
Fanya utafiti wa bingwa wa Kikinga Mwakipande.
 
If i wanted to do it i could have done it but differently.not this way.i am not a con artist.
Acha ushamba wewe nimeku challenge uonyeshe utapeli kwenye hiyo makala umeshindwa una bwabwaja.

Sikia we boya.Kitabu naandika Mimi sio wewe.Ninaandika chochote ninacho jisikia..Hayo mawazo yako ya kihanithi hayahitajiki.nje ya mipaka ya ubongo wako
 
Hakuna uchawi.

Hakuna utajiri wa kichawi.
Unaweza kuwa sahihi but kwa story ya Kishimba is a bit difference. Wengi wanaamini ana utajiri wa kichawi but wapo wanao amini utajiri wake wa haraka Ali upata in 1994 during the Rwandan Genocide.

This is what I am going to address in this book and the point I am trying to establish is that si kila mtu anaesemwa kuwa na utajiri wa kichawi basi utajiri wake ameupata kichawi kweli.
Wengine ni majambazi, kidnappers, wafanya magendo , wauza cocaine etc but wanajificha kwenye mwamvuli wa utajiri wa kichawi ili kuuhadaa uma kwa sababu wanajua watz wengi wanaamini sana katika uchawi.

Nilivyo pata story ya Kishimba nimeshawishika kuamini kuwa watu wengi tunao amini wana utajiri wa kichawi wanaweza kuwa na mishe nyingine wanapiga nyuma ya pazia ila wamejifichwa kwenye " uchawi "
 
Andika maana zaidi ya lugha ya kukosa malezi huwa huna hoja. Ila HUTAMTAPELI MTU ANDIKA UJISOMEE... HUMU WATU WAJANJA HUWAIBII KAMWE.

Acha ushamba wewe nimeku challenge uonyeshe utapeli kwenye hiyo makala umeshindwa una bwabwaja.

Sikia we boya.Kitabu naandika Mimi sio wewe.Ninaandika chochote ninacho jisikia..Hayo mawazo yako ya kihanithi hayahitajiki.nje ya mipaka ya ubongo wako
 

Uchawi haupo. Period, end of sentence!

Ni imani tu isiyo na uhalisia wowote ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…