Tetesi: Utata kuhusu chanzo halisi cha utajiri wa Jumanne Kishimba

Andika maana zaidi ya lugha ya kukosa malezi huwa huna hoja. Ila HUTAMTAPELI MTU ANDIKA UJISOMEE... HUMU WATU WAJANJA HUWAIBII KAMWE.

Wewe ni GT? Anyways ngoja nikuelekeze kitu. Ninaweza kuandika kitabu kuhusu kisimi au asili ya neno Mwayego( Mwahego?) Na watu wakanunua kitabu ..Hayo mawazo yako hayafai kukaa kwenye ubongo wa mwanaume rijali
 
Wakati watanzania tunahamasishwa kusoma naona tunahamasikia kwenye kuandika makorokocho.
sasa kishimba si muulize tu hata mwenezi wa chama chake SlowSlow Hili nalo hadi vitabu?
 
Humjui kishimba wewe
 
Wakati watanzania tunahamasishwa kusoma naona tunahamasikia kwenye kuandika makorokocho.
sasa kishimba si muulize tu hata mwenezi wa chama chake SlowSlow Hili nalo hadi vitabu?
Sidhani kama ni kweli, wenyeji wa kagongwa _ Kahama tutaelewana vizuri. Kuna jamaa yangu ambaye anamuita Kishimba mjomba anasemà hakuna cha ndumba wala uganga huo utajiri ni wa ukweli.

Aliiba.
 
ilibakia kidogo sana nimuowe Hadija kishimba tulikutana India akiwa masomoni, ni binti mmoja taanusi sana hivi na hapendi kudharau watu si mtu wa kujikweza, najua aliemuoa ameramba bingo sana.
Ungekuwa unanuka hela now is nasikia jamaa yupo makini sana kwenye matumizi ya pesa zake
 
Unachoandika wala si shida. Ukiona mtu anakimbilia hoja kondefu unapata majibu tu kuwa ni mtupu kichwan.wewe andika anything ila nakwambia hii ya uandishi wa kitapeli watu wengi watakushtukia.

Humu lazima ufaham na watu wazima wenye akili tupo siyo wote form four leavers.huwezi wadanganya all the time.you can fool some people sometime,but you cant fool all the people all the time

Wewe ni GT? Anyways ngoja nikuelekeze kitu. Ninaweza kuandika kitabu kuhusu kisimi au asili ya neno Mwayego( Mwahego?) Na watu wakanunua kitabu ..Hayo mawazo yako hayafai kukaa kwenye ubongo wa mwanaume rijali
 
Kumbe ni promo ya Vitabu.
 
Ok
 
Yani Kishimba aliingia Mwanza miaka ya Tisini mwishoni, hafu ghafla 1994 akapata Utajiri wa ghafla..!!!!!!!!
 
heri wewe umebarikiwa moyo safi, wengine wanazuia jamaa asitangaze.
kikwazo cha maendeleo ya Waafrika ni waafrika wenyewe
Mkuu u have spoken my mind.I say hii ngozi nyeusi hii dah wacha wazungu waendelee kutuita manyani.
Nywele fupi pua fupi na akili fupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…