Tetesi: Utata kuhusu chanzo halisi cha utajiri wa Jumanne Kishimba

Yaani ninunue kitabu kusoma hadithi ya kishimba?!
Ukiona hivyo ujue Uzi haukuhusu .Hakuna tangazo lisilo na watu hata ukiandika kitabu kuhusu kisimi au kuhusu asili ya neno mwahego wapo watu watakao nunua.
 
dont quote me you asol
 
dont quote me you asol
Mkuu Likud hiki kitabu kinachohusu namna Jumanne Kishimba alivyotajirika uliishakichapisha? Natamani nikisome japokuwa imeonekana kuanza na taarifa zisizo sahihi kwa asilimia 100 kuhusiana na namna alivyojipatia fedha mwanzoni kabisa!
 
Mkuu Likud hiki kitabu kinachohusu namna Jumanne Kishimba alivyotajirika uliishakichapisha? Natamani nikisome japokuwa imeonekana kuanza na taarifa zisizo sahihi kwa asilimia 100 kuhusiana na namna alivyojipatia fedha mwanzoni kabisa!
umepataje hiyo asilimia mia moja. Tuanzie hapo mkuu
 
Huna lolote la maana kila siku utafiti wa kichawi sijui nini ila wewe jamaa ni moja kati ya matapeli najua huwezi kubali ila ndio hivo
 
Humuibii mtu. Yaaani stories za kuambiwa kijiweni unajidai nawe mtafiti kwa kuulizia ulizia masela halafu uje hapa utangaze unauza kitabu? Trust watanzania ni wajanja sana miaka hii. Hutoki kwa style hii.
Yaani kuna wajinga wataingia mkenge kwa huyu jamaa nilisha ona mabandiko yake ila kwa mtu mwenye akili zake timamu huyu jamaa ni bonge la tapeli haswa
 

Unatutangazia biashara ya kitabu chako umpati mtu kwani uyo nae ni tajiri sasa?
 


1. Unatafiti kufahamu kama kuna "uchawi" na "ushirikina" au unatafiti kuona jinsi unavyofanya Kazi?

2. Pili,tunaomba katika Kitabu chako utuwekee kabisa na mifano ya matukio ya kichawi ambayo haielezeki kwa akili za kawaida vinginevyo uhitimishe katika Kitabu chako kwamba hakuna uchawi.
 
Unatutangazia biashara ya kitabu chako umpati mtu kwani uyo nae ni tajiri sasa?
Uzi ushakufa na.kuzikwa huu.Mnao comment kwenye Uzi huu sasa hivi mna nyota za maiti
 
Kwa ujumla ushirikina ni imani tu.Mambo yanayohusiana na hayo hata stori zake hazinishawishi kuzisikiliza.

Ila watanzania ni wanafiki na tuna mashauzi hatariiii! Kha! Yaani hata wa west Africa na south tungesoma kidogo tu zaidi yao wangejuta maana hali hii Wakenya wanatutoa jasho (sometimes) na bado tunajitoa kama huwa tunashit Rainbows!!

Haushawishiki kusikiliza and yet umefungua page ambayo ina kichwa cha habari kinachosomeka bila tafrani kwamba ndani ya uzi kunahusu uchawi and yet umefungua, umesoma na umechangia mjadala!! Pure Tanzanian!

**Safi sana Chief! Umetuwakilisha wengi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…