Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Get off my dk
Unaonekana una akili kidogo..Let me ask.u a QN ..Hapo utapeli unaingia wapi? Kwamba ntauza kitabu hewa au?Chief kamwe husitumie mawe wanayokurushia kuwaponda nayo, yatumie kujenga ukuta au ukubwa maamuzi ni yako!
Tafadhali andika kuhusu hao matajiri wa kanda ya ziwa maana kwa tuliokulia mikoa hiyo tunatamani kujua ukweli hasa ni upi na kwa wenyeji wa Mwanza I believe wanaelewa sana tu kuhusu utajiri wa "Ndagu" and maybe be ndio maana tumeibuka hapa kutoka mwaloni tunakurushia shombo la dagaa, hebu tupe hata Preface Tafadhali!
Na kama wewe ni tapeli kweli, be careful, you will be dealt by the same hand that you are dealing!
Unaonekana una akili kidogo..Let me ask.u a QN ..Hapo utapeli unaingia wapi? Kwamba ntauza kitabu hewa au?
Swali muhimu zaidi ni kitabu kimechapishwa? Nahitaji nikipate kama kipo!umepataje hiyo asilimia mia moja. Tuanzie hapo mkuu
Swali muhimu zaidi ni kitabu kimechapishwa? Nahitaji nikipate kama kipo!
Sasa chief kama naonekana nina akili kidogo nitaweza kweli kukujibu?
Anyway subiri nijitutumue;....... kwenye ule uzi wa Jumanne Njemba hukutoa muendelezo kama ulivyoahidi lakini pia hata heading ya huu uzi ni tofauti na kilichomo ndani, ndani ni tangazo la biashara! Na pengine hii pia ni style yako ya kufanya utafiti, unaanzisha mada kuhusu mtu kama Kishimba ambae hata baadhi ya wanae na ndugu, jamaa na marafiki wanaomfahamu kindakindaki wao humu nao watatoa yao nawe utakusanya unayohitaji bila uchungu zaidi ya bando lako tu then utatengeza kitabu chako halafu tutanunua!
*Sijui kama nimeweza kujibu inavyotakiwa. ..
Ni mwaka sasa toka tuahidiwe hicho kitabu. Vipi, kilishatoka?We Likud unaonekana ni mzawa wa mwanza. Nyingi ya simulizi zako kama nazielewaga hasa kuhusu watu wa kanda ya ziwa.vitabu mwanza vifike mkuu nitanunua
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete story yake inaonekana ana mengi sana.Likud usije kumsahau Mzee NYAMAGATI Mzanaki Katiri zaidi ya Alshabab mastermind wa Mauaji yooote ya kulipiza kisasi ktk Mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla. Kwa sasa amesha RIP baada ya lile tukio la Mauaji ya watu 17 huko Musoma. Ana historia ya kutisha inatosha kwa kuiandikia kitabu. Work on it mkuuu