Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Get off my dk
Chief kamwe husitumie mawe wanayokurushia kuwaponda nayo, yatumie kujenga ukuta au ukubwa maamuzi ni yako!
Tafadhali andika kuhusu hao matajiri wa kanda ya ziwa maana kwa tuliokulia mikoa hiyo tunatamani kujua ukweli hasa ni upi na kwa wenyeji wa Mwanza I believe wanaelewa sana tu kuhusu utajiri wa "Ndagu" and maybe be ndio maana tumeibuka hapa kutoka mwaloni tunakurushia shombo la dagaa, hebu tupe hata Preface Tafadhali!
Na kama wewe ni tapeli kweli, be careful, you will be dealt by the same hand that you are dealing!