Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Swala ni haijulikani waliomchukua na ingefahamika tungejua aliko kama ilivyokua kwa Nay istoshe haieleweki sababu ya kuchukuliwa

Ndio maana wameenda kutoa taarifa polisi,polisi ndio watatueleza ni nani aliewachukua.
 
Magufuri umepewa ridhaa ya kuongoza nchi. ......sio fikra za watu na uhuru wao.
 
Haters waga awakos
 
Sakata linguine, kazi kweli kweli
 
Kama kazi waliyobakiza ni kamatakamata na kauli tata viwanda tusahau kabisa, mwenye nia ya kuleta maendeleo hawezi kudeal na vitu vidogo kama hivyo. Yesu aliponya vipofu, viwete hadi akafufua wafu lakini walimkosoa. Sembuse binadamu?!...
 
Reactions: y-n
wanataka wasikosolewe iwe kama bendi za zaman walivyokua wakiwapamba viongozi,nchi, Radio Tanzania na mikoa....leo Roma akae aimbe kama zile za eti,jamani Morogoro morogoro hooh,.Ile ni enzi zile TV anamiliki mukulu pekee sasa hivi njia za kujua madudu ziko nyingi.
 
Naona watoa comments Karibu wote tuna mawazo kuwa Roma na wenzako wamechukuliwa na Serikali kitu ambacho ni hisia tu kisa Roma ana nyimbo za kuikosoa Serikali.

Jamani tuache huu mzaha ktk maisha ya watu kwani kuna wahalifu wanaweza kutake advantage ya UJINGA wetu kila anayepotea au kutekwa kufikiria ni Serikali wakati huna hata ushahidi wowote then wakafanya mengi mabaya kwa faida zao.

Hili tuliachie mamlaka husika watupe nini kilitokea na juhudi ni zipo za kuwatafuta.
 
Wakitoka kwa wasanii wanaenda wapi sasa? maana huku walisha pita
-Wafanyabiashara
-Vyombo vya habari
-Upinzani
-
-
-
Bado ww Na mwenye nyumba hamuishi kihalali![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi kura tuliwapigia kwa amani mbona malipo ndio haya jamani hayo mambo tulizoea kuyaona kwa wasomali huko na alshabaab yao miungu watu tutakufa sote ni swala la mda tu watangulizeni wenzenu zamu yenu yaja kutwa makanisani kumbe mbwa mwitu wakubwa [HASHTAG]#free[/HASHTAG] roma
 
Unapeleka kesi ya nyani kula mahindi kwa tumbili. Unategemea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…