Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Mimi sikuwahi kukaa blok 41 Mimi nlikulia ushenzini kino shamba,watu wa huko ndiyo walikuwa wana fagilia flag letu hata Jamaa yenu hko aliyekuwa anaitwa akachube mkristo(rip)wote mtiti wetu na rekod zetu alikuwa anazijuaa...in short pina siyo kivile pina igomvi WAKE msingi ulikuwa kisa mademu

Ova
Achana na ngumi za makundi nitajie ugomvi wa street fight man to man ambao unaukumbuka Pina alipigwa. Sijui kama unakumbuka kilichomtokea yule baunsa wa bills anayeonekana kwenye wimbo wa Ray c, Akachube mkristo alikuwa hakai block alikuwa anakaa kwa wahuni nyuma ya biafra naye alikuwa hawezi ngumi alikuwa anatumia pembe jeo kama kina lord eyes kipindi hicho cha nako to nako.
 
Achana na ngumi za makundi nitajie ugomvi wa street fight man to man ambao unaukumbuka Pina alipigwa. Sijui kama unakumbuka kilichomtokea yule baunsa wa bills anayeonekana kwenye wimbo wa Ray c, Akachube mkristo alikuwa hakai block alikuwa anakaa kwa wahuni nyuma ya biafra naye alikuwa hawezi ngumi alikuwa anatumia pembe jeo kama kina lord eyes kipindi hicho cha nako to nako.
Akachube alikuwa anakaa blok nyuma ya kwetu bar pale ya zamani,pina ugomvi WAKE mwingi ulikuwa chanzo madem mkuu na pina man to man alijuwa hawezi ndomana alikuwa anapenda kuomba tag kwa wababe mfano pina ashataka kuwazingua Jamaa fulani pina akachemka ikabidi pina aombe tag kwa Jamaa mmja anaitwa stiba.....kwa hiyo pina alikuwa anategemea kundi .....ugomvi WAKE ni coco,masaki,mikocheni ila mitaaa yetu enzi hizo watoto wa kbwa Mbn alikuwa hakanyagi

Ova
 
Kwanini hawa watu wasiojulikana hupenda kufanya matukio yao siku ya alhamisi?

Lisu alishambuliwa alhamisi, Roma alitekwa alhamisi na hata Mo ametekwa alhamisi.

Kuna nini na hii siku ya alhamisi?
 
Back
Top Bottom