Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Moni n msanii...jof rader ndio mwenye studio kituu kaa hyoo
 
Kama walimvua mkanda na viatu Mhe.Mwigulu nadhani watu wa TISS wanaweza kufanya chochote kibaya kwa yeyote
 
kweli kabisa, kama juhudi iliyopo ya kumtafuta Ben Saanane.
 
Siku nyingine msirudie kuwapigia kura
 
kweli kabisa, kama juhudi iliyopo ya kumtafuta Ben Saanane.
 
Nachojua mie hawa wanamuziki wana washabiki wengi sana miongoni mwa watanzania hata foreign countries hasa age between 18-30; vita yoyote na watu hawa kama serikali ina mkono wake basi italeta madhara makubwa sana ya kisiasa. Hii age pamoja na kuwa wao wapiga kura lkn pia ni age ambayo wako tayari kwa lolote. Kama kuna watu wanadhani watashinda kwa goli la mkono, basi waachane na age hii, itawaliza.
 
Wambieni mi mzalendo na hii ndiyo mbiu ya mgambo/
Tanesco wanazima umeme kupitisha mzigo wa magendo /

ROMA SIO MIMI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…