Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona issue ya Roma macho yote ni Serikali tu wakati hakuna mwenye chembe ya ushahidi hata mmoja ktk comments zote.
Kwanza kilichowafanya Roma na kundi lake kutii amri za kupanda Noah nyeusi toka kwa watu waliovaa kiraia na kubeba vifaa vyenu vya kazi nini??
Hawakutakiwa kutii amri toka kwa raia usiowajua kupakia vifaa na kuondoka nao gari za kiraia kama umechukiliwa na Serikali kweli!!
Walikuwa zaidi ya watu 4 studio walikuwa na uwezo wa kupiga kelele kuwa wamevamiwa na kila mmoja kukimbia upande tofauti kwa Mara moja na naimani hiyo gari isingeondoka hapo.
Watu wange iblock tu,sasa wote sijui wa 4 sijui 5 mnakubali tu kirahisi kubeba vifaa kweli kirahisi tu kienyeji tu hivyo.
Mimi haiingii akilini sana Hapa kuna michezo tu ya kihuni inaendelea kwa kuchezea akili za watu. Ili tuamini kuwa Serikali unafanya harassment kwa watu wake.Hii syndicate haitakubalika.
Kazi ya msingi Serikali ni kulinda RAIA wake na si kuangamiza raia wake.
Hakuna taarifa iliyosema kakamatwa na polisi na ingekua polisi tungejua yupo kituoniKuna mambo hayajakaa sawa ktk hii habari:
Kwa maoni yangu, suala la kukamatwa kwa Roma halijakaa kipolisi kabisa. Inawezekana ni vyombo vingine vya dola au ni kiki inatengenezwa. Hoja ya kiki hata mimi sijapenda kuiibua, lakini kama Ney kasamehewa ambaye wimbo wake uliilenga serikali moja kwa moja, kwanini serikali itake kushughulika na Roma? Kama management ya Roma inatengeneza kiki, basi wanafanya makosa makubwa sana maana kuna watu kama Ben Saanane ambaye hajulikani aliko na pia Ulimboka ambaye alipotezwa halafu akapatikana akiwa na hali mbaya sana. Hatutakiwi kujenga dhana kwamba 'kupotea na kutopatikana hata ktk vyombo vya dola ni kawaida'.
- Roma hajatoa wimbo wowote wenye kukashfu serikali au viongozi wake hivi karibuni. Nyimbo zilizopo ni za wakati wa Kikwete na hakuchukuliwa hatua zozote.
- Waliomkamata wameenda na Noah nyeusi. Polisi hawana magari dizain ya Noah. Watu waliokuwa hapo walipaswa kuwatilia shaka kama kweli hao ni polisi.
- Polisi wamechukua kompyuta na TV. Hapo ndipo penye utata zaidi. Kwanin polisi wachukue TV? Kwa ajili ya upelelezi, polisi hahitaji hata monitor (screen) ya PC. Anahitaji System Unit tu. Hili jambo lilipaswa liwashtue wanaokamatwa na kuwahoji askari vitambulisho vyao na kituo wanachotaka kuwapeleka. Pia watu waliokuwa karibu wangeweza kustuka kutokana na hili.
Kumbuka kuna la Ben ziliachiwa mamlaka hadi leo halina majibuTukio lolote la kiusalama kwa mwanainchi likitokea kuna mamlaka husika za kutoa taarifa kwa utaratibu wa Serikali.
Sasa ukiniuliza mpaka lini hilo Mimi sio msemaji wao.
Lakini hujazuiwa kupiga kelele
Ushawahi kutekwa na ukafanya unayoyaongea? Hujawahi ona taarifa za magari kadhaa kutekwa na watu wakachukuliwa vitu vyao? Unafikiri wao hawakufikiria kufanya unachodhani wangefanya?Naona issue ya Roma macho yote ni Serikali tu wakati hakuna mwenye chembe ya ushahidi hata mmoja ktk comments zote.
Kwanza kilichowafanya Roma na kundi lake kutii amri za kupanda Noah nyeusi toka kwa watu waliovaa kiraia na kubeba vifaa vyenu vya kazi nini??
Hawakutakiwa kutii amri toka kwa raia usiowajua kupakia vifaa na kuondoka nao gari za kiraia kama umechukiliwa na Serikali kweli!!
Walikuwa zaidi ya watu 4 studio walikuwa na uwezo wa kupiga kelele kuwa wamevamiwa na kila mmoja kukimbia upande tofauti kwa Mara moja na naimani hiyo gari isingeondoka hapo.
Watu wange iblock tu,sasa wote sijui wa 4 sijui 5 mnakubali tu kirahisi kubeba vifaa kweli kirahisi tu kienyeji tu hivyo.
Mimi haiingii akilini sana Hapa kuna michezo tu ya kihuni inaendelea kwa kuchezea akili za watu. Ili tuamini kuwa Serikali unafanya harassment kwa watu wake.Hii syndicate haitakubalika.
Kazi ya msingi Serikali ni kulinda RAIA wake na si kuangamiza raia wake.
Labda alikuwa anafyatua kitu kingine cha baba na mwana bashitesababu ya kukamatwa?
Nadhani jamaa ni miongoni mwa waliohusika kumteka Roma na wenzake, hapa analeta hoja za kutuvuruga tu.Ushawahi kutekwa na ukafanya unayoyaongea? Hujawahi ona taarifa za magari kadhaa kutekwa na watu wakachukuliwa vitu vyao? Unafikiri wao hawakufikiria kufanya unachodhani wangefanya?
Ndiyo mamlaka zinaendelea sasa kelele zetu za mitandaoni zinabadili nini kama yuko hai yuko hai na yuko ktk mikono salama yuko hai na yuko ktk mikononi salama lakini kama alifariki ktk mikononi michafu ndiyo amekufa ktk mikono michafu na hatuwezi kumpata akiwa hai zaidi kuwasaka hao wahalifu.Kumbuka kuna la Ben ziliachiwa mamlaka hadi leo halina majibu