Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara


Mkuu unamaanisha kuna shoo wameenda kupiga mahali?

Kama kamanda kasema hawalijui hilo na hakuna jitihada za kiserikali zinazochukuliwa hadi sasa, naamini ni maombi tu yatakayowaokoa vijana hao na genge hilo la wahalifu kwani sitegemei wala kuamini kuwa watarudi salama kutokana na kuwa na siri nyingi za huko walipo. Eeh Mwenyezi Mungu tufunulie tuyajue yaliyijificha ktk matukio haya.
 
Hakuna taarifa iliyosema kakamatwa na polisi na ingekua polisi tungejua yupo kituoni
 
Hapo usalama wanahusika vizuri sanaaa na hii movie inaonekana itakuwa tamu sanaa kama police wenyewe hawajui chochote ina maana hao watu watajitokeza na hawa jamaa watakuwa hai kweli??
 
sooth kiki inajulikana tu sema hii ya roma imejaa maswali mengi sana
inawezekana hata maadui wake wa zamani wametake advantage due to current situation in tz
Tumuombe Mwenyezi Mungu apatikane salama
 
Tukio lolote la kiusalama kwa mwanainchi likitokea kuna mamlaka husika za kutoa taarifa kwa utaratibu wa Serikali.

Sasa ukiniuliza mpaka lini hilo Mimi sio msemaji wao.

Lakini hujazuiwa kupiga kelele
Kumbuka kuna la Ben ziliachiwa mamlaka hadi leo halina majibu
 
Ushawahi kutekwa na ukafanya unayoyaongea? Hujawahi ona taarifa za magari kadhaa kutekwa na watu wakachukuliwa vitu vyao? Unafikiri wao hawakufikiria kufanya unachodhani wangefanya?
 
Kitendo cha polisi kukana kuhusika ndiko kunawaweka ktk hali isiyosalama zaid
 
Kuna wakati najiwazia hivi hii ndo Tanzania yetu ya cku zote ama ? Kila iitwapo leo ukiamka unakutana na jipya, vijana wa watu wanatafuta riziki zao ila wanaishiwa kukamatwa tunaenda wapi
Halaf kumbe jamaa alijidai kumwachia Ney ili tuone n mwema
Ila watz tuungane jaman tupige makelele yasije tokea kama ya Ben tena
Mungu awatie nguvu familia zao
 
Ushawahi kutekwa na ukafanya unayoyaongea? Hujawahi ona taarifa za magari kadhaa kutekwa na watu wakachukuliwa vitu vyao? Unafikiri wao hawakufikiria kufanya unachodhani wangefanya?
Nadhani jamaa ni miongoni mwa waliohusika kumteka Roma na wenzake, hapa analeta hoja za kutuvuruga tu.
 
Kumbuka kuna la Ben ziliachiwa mamlaka hadi leo halina majibu
Ndiyo mamlaka zinaendelea sasa kelele zetu za mitandaoni zinabadili nini kama yuko hai yuko hai na yuko ktk mikono salama yuko hai na yuko ktk mikononi salama lakini kama alifariki ktk mikononi michafu ndiyo amekufa ktk mikono michafu na hatuwezi kumpata akiwa hai zaidi kuwasaka hao wahalifu.

Na mamlaka haziwezi kutoa taarifa just wewe uridhike tu wakati si kweli,wakiwa na taarifa za kweli wanatoa taarifa kamili.

Nakupa tu mfano kuna jamaa aliua ndugu zake kama watano Mbeya miaka ya nyuma sana then akatoweka kabisa yule bwana alitafutwa na Jamhuri na makachero toka Mbeya zaidi ya 8 maana alikuwa amejificha vijijini kabisa na mwisho alikuwa mbeba mizigo Ubungo stand na makachero nao walibeba naye mizigo Ubungo kwa muda wa miezi 6 ndiyo walipothibitisha kuwa ni yeye.

Basi sisi watu wakabipigwa pingu wabeba mizigo na makachero ndani ya pingu mpaka polisi mchujo mchujo basi yeye akabaki safari Mbeya na sasa anasubiri kitanzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…