Hao ni vibaka wamevamia, walivyochukua vina thamani sana kwaoChanzo nini kubeba computer na flat screen kwasababu ipi? tunajua mnaanza na wasanii
maybe ni zile all in one, desktop in a monitor.Chanzo nini kubeba computer na flat screen kwasababu ipi? tunajua mnaanza na wasanii
Una maana gani mkuu
watakuwa walipata tetesi kuwa Roma yupo jikoni anapika bonge la jiwe wakaona isiwe tabu kwanini wasubiri kuumbuliwa wakati issue yenyewe wanaweza kuistop so easy