Hoppity Cywale
Senior Member
- Aug 20, 2013
- 126
- 29
http://www.vidmate.mobi/landing?p=NTMwNDg3MTA0&ref=wa Sifa Digital Tanzagiza{Official Video} | From Most powerful video downloader!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kwenye Facebook wall ya Professor Jay................
"Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONY @moni_ centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana.
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!"
View attachment 491654
Kutoka kwenye Facebook wall ya Professor Jay................
"Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONY @moni_ centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana.
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!"
View attachment 491654
Msanii wa mziki Ibrahim Mussa maarufu kama Roma mkatoliki na msanii mwezake Moni pamoja na kijana mwingine ,wamekamatwa jana majira ya saa moja usiku wakiwa studio za TONGWE Records na watu wanaosadikiwa kuwa ni jeshi la polisi.Wakamataji hao walio ondoka pia na Computer pamoja na Tv flat za Studioni hapo.
Chanzo cha kukamatwa kwao na mahala walipopelekwa bado haijajulikana.
Source.Joseph haule tweet.
Tukio hilo linajiri ikiwa limepita takribani juma moja tangu msanii mwingine wa mziki Emmanueli Elibariki maarufu Ney wa mitego aliyekuwa amekamatwa na jeshi la polisi kuachiliwa huru kwa order ya rais kupitia kwa waziri Mwakyembe.Msanii Ney wa mitego alikamatwa akiwa mkoani morogoro kwa kile kinacho daiwa ni kutunga wimbo wakichochezi alioupa jina la "wapo" ambao baadaye ulipewa ruhusa ya kusikika kwenye vituo vyote vya redio na serikali.View attachment 491646 View attachment 491646 View attachment 491647
Povu kibao ulichokiandikaKwani huyo Roma ndio nani? na anajishughulisha na nini? mbona mnapenda kutafuta Kiki kwa Serikali kibwege bwege hivi. leteni vitu vya msingi watu wamchukue Roma waende nae wapi? kama ndieyule mwanamuzi anaeimba nyimbo zinazokaa wiki moja watu hawazikumbuki tena, kama kuimba kuna watu waliimba wa bongo flava mpaka leo nyimbo ikipigwa bado inamaana ije kuwa nyimbo zenu kama pipi ukimung'unya inakwisha.
sasa si uhamie Somalia hapa unafanya nnBora kuishi Somalia inayojulikana si salama kuliko kuishi humu na hawa majambazi I hate them Ila nategemea Malawi watatukomboa na utumwa huu.
Kakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?