MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Not to that extent, watch it!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko nyuma niliwahi kusema kuwa "Wasanii wa mziki kaa chonjo, wimbo wa Ney kuruhusiwa ni chambo ya kuwanasa walengwa".Si tuliwasikia Mwakyemb na Magu wakiruhusu wimbo wa Ney wa Mitego, huku wakibainisha kuwa wasanii wako huru kuonyesha feeling zao kupitia tungo zao?
Sasa imekuwaje tena mbona kwa Roma Mkatoliki wanafanya vice versa?
Comment yako mbona fupi sana Dada.
Endelea mkushupaza shingo .Hao ndiyo kina nani?
Mkuu kuwa sirias basi inamaana hata nyimbo inaitwa mathematics hujawahi kuisikia kwa msiojielewa kama nyie ndo mnaona Roma hana kitu ila ni mwanaharakati hatari yule akiamua kuingia kwenye siasa nyimbo zake ni chachu hatari kwa bashite na magu wakeKwani huyo Roma ndio nani? na anajishughulisha na nini? mbona mnapenda kutafuta Kiki kwa Serikali kibwege bwege hivi. leteni vitu vya msingi watu wamchukue Roma waende nae wapi? kama ndieyule mwanamuzi anaeimba nyimbo zinazokaa wiki moja watu hawazikumbuki tena, kama kuimba kuna watu waliimba wa bongo flava mpaka leo nyimbo ikipigwa bado inamaana ije kuwa nyimbo zenu kama pipi ukimung'unya inakwisha.
Kwani washatukana tayari?Wasifikiri kwakua Ney katolewa jela wakajua nao wataachwa watukane wanavyojickia
Kama hawajulikani walipo watakuwa wamekamatwa,na bashite,kama bashite alivyotuhumiwa kumkamata benKakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?