Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Si tuliwasikia Mwakyemb na Magu wakiruhusu wimbo wa Ney wa Mitego, huku wakibainisha kuwa wasanii wako huru kuonyesha feeling zao kupitia tungo zao?

Sasa imekuwaje tena mbona kwa Roma Mkatoliki wanafanya vice versa?
Huko nyuma niliwahi kusema kuwa "Wasanii wa mziki kaa chonjo, wimbo wa Ney kuruhusiwa ni chambo ya kuwanasa walengwa".
 
Kwani huyo Roma ndio nani? na anajishughulisha na nini? mbona mnapenda kutafuta Kiki kwa Serikali kibwege bwege hivi. leteni vitu vya msingi watu wamchukue Roma waende nae wapi? kama ndieyule mwanamuzi anaeimba nyimbo zinazokaa wiki moja watu hawazikumbuki tena, kama kuimba kuna watu waliimba wa bongo flava mpaka leo nyimbo ikipigwa bado inamaana ije kuwa nyimbo zenu kama pipi ukimung'unya inakwisha.
Mkuu kuwa sirias basi inamaana hata nyimbo inaitwa mathematics hujawahi kuisikia kwa msiojielewa kama nyie ndo mnaona Roma hana kitu ila ni mwanaharakati hatari yule akiamua kuingia kwenye siasa nyimbo zake ni chachu hatari kwa bashite na magu wake
 
Marekani trump anatukanwa kila siku na wasanii lkn sijawai kuckia wamekamatwa
 
Back
Top Bottom