Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Kama bashite aliweza kuvamia kituo cha tv bila kufanywa chochote, akawatuma wahuni wakamtishie nape bastola bila kufanywa chochote? Anashindwa nini kwenda kumteka maskin kama roma?!
 
Bashite na genge lake wana kesi ya kujibu pumbavuuu
 
Vipi tena wamepata taarifa anaenda kuwaimba nini? wamemuwahi kabla hajachafua hali ya hewa.
 
Nchi ya Vi-wonder, hakuna atakaye baki salama hata yeye mwenyewe lazima aisome namba.
 
Kutokamatwa kwa Bashite kwa upande wangu nimepoteza matumaini ya 10% niliyokuwa nayo kwa Sisiemu na Sirikali yake. Sasa narudi 0% rasmi.
 
this is shit. its like hell on earth. the nation is never fool forever. time will tell. they got their time then will come another master who never knew Joseph.
 
Kutokamatwa kwa Bashite kwa upande wangu nimepoteza matumaini ya 10% niliyokuwa nayo kwa Sisiemu na Sirikali yake. Sasa narudi 0% rasmi.
heri yako ulikuwa na 10%. never had one and never will. God forbid me from having any
 
Back
Top Bottom