Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sirro huwa anawaita Central, uvamizi ni Bashite style.... Kwan yule Bwana wa kuitwa Sniper keshamaliza likizo yake?Kakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?
Kivip MalawiBora kuishi Somalia inayojulikana si salama kuliko kuishi humu na hawa majambazi I hate them Ila nategemea Malawi watatukomboa na utumwa huu.
mmmmh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ww kibokoBado tunasubiri viwonder!
mbona maneno yanakuponyoka chifu, umeigiza humjui alafu unajijibu mwenyewe. tulia dawa isambae kama zinakaa wiki moja mbona wana hofu kuu wenzakoKwani huyo Roma ndio nani? na anajishughulisha na nini? mbona mnapenda kutafuta Kiki kwa Serikali kibwege bwege hivi. leteni vitu vya msingi watu wamchukue Roma waende nae wapi? kama ndieyule mwanamuzi anaeimba nyimbo zinazokaa wiki moja watu hawazikumbuki tena, kama kuimba kuna watu waliimba wa bongo flava mpaka leo nyimbo ikipigwa bado inamaana ije kuwa nyimbo zenu kama pipi ukimung'unya inakwisha.
Mkuu Malawi hawawezi kuyapiga haya majambazi sugu, labda uwepo msaada mkubwa Sana wa taifa kubwa ndo Tunaweza kukombolewa.Bora kuishi Somalia inayojulikana si salama kuliko kuishi humu na hawa majambazi I hate them Ila nategemea Malawi watatukomboa na utumwa huu.
Not to that extent, watch it!
Itakuwa jeshi la Bashite maana ana private armyKakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?