Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Kivip Malawi
Hahaha aha,,watu kweli wamechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivip Malawi
MpuuziBora kuishi Somalia inayojulikana si salama kuliko kuishi humu na hawa majambazi I hate them Ila nategemea Malawi watatukomboa na utumwa huu.
Mkuu Malawi hawawezi kuyapiga haya majambazi sugu, labda uwepo msaada mkubwa Sana wa taifa kubwa ndo Tunaweza kukombolewa.
Mkuu Swizzy umeandika kiurahisi rahisi lakini kuna hoja kubwa sana hapa.imefikia hatua sisi wabongo tunaona ni kawaida mtu akitoweka ghafla/ kupotea au kukamatwa na watu wasio julikana, tunaona ni kawaida tu wakati zamani mfano mzuri huko vijijini watu walikuwa wana organize na kuanza kumtafuta huyo mtu kila kona. Tubadilike jamani kama police wamekana hawajahusika kumkamata Roma na Wenzake basi tutumie mtindo kama nilivyo eleza hapo juu.
Hii haileti taswira nzuri kwa raia wapenda haki. Iwapo Jeshi la Polisi limemkata mtu lazima watoe taarifa haraka ili kujiepusha na shutuma zisizo na ulazimaKakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?
Inaonesha ni kiasi gani unamuamini mange kuliko unavyojiamini wewe mwenyewe.Ni watu wa bashite mwambieni mange kimambi awachambe watarudisha wenyewe
Bora kuishi Somalia inayojulikana si salama kuliko kuishi humu na hawa majambazi I hate them Ila nategemea Malawi watatukomboa na utumwa huu.
Kutoka kwenye Facebook wall ya Professor Jay................
"Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONY @moni_ centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana.
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!"
View attachment 491654
Huyo ndo anazombinu zote za kuvamia studio hawezi kuwepo mwingineBashite huyo. Hakuna mwingine..
Mungu wa darisalama
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kakamatwa na nani? Jeshi la polisi au jeshi la bashite?