Utata: Mtuhumiwa adaiwa kujinyonga kwa Nguo ya Ndani akiwa Kituo cha Polisi

Utata: Mtuhumiwa adaiwa kujinyonga kwa Nguo ya Ndani akiwa Kituo cha Polisi

Ukiambiwa na polisi kuwa taarifa rasmi inaandaliwa ndo zinakuwaga hivi, kuzielewa ni lazima kichwa kiwe down kidogo.
 
Ukionea mtu ilikuwa lazima tumbo livimbe , ufe vibaya au upate balaa kubwa. Siku hizi tunaonewa tu mawitch hawana msaada.

Huu ni uonevu
20230216_132804.jpg
 
Miaka hiyo A town kuna mwamba mwamba 1 alikuwa dereva wa tax alifia sero akaambiwa kajitundika kwa vest yake, hadi leo mkewe na wanawe wanahangaika na ulimwengu wa dhiki, shikamoo sero za polisi, wasimamia sheria wa jamuhuri ya watu wa Tanganyika kwa leo Tanzania.
 
Hivi mahabusu huwa anakaa mtu mmoja kiasi kwamba anapojinyoga hakuna mtu anaona na kujaribu kuzuia?
 
polisi ni wauji wasio na akili!
ona eti amejinyonga kwa kutumia chupi......au usikute polisi hawajui chupi ni nini?
Kajinyonga na mshipi wa kaptura,kamba inayofunga kaptura au chupi kama mkanda!

Hii ndio balaa la kuchukua waliofeli kidato Cha nne na kuwafanya polisi.

Hawana logic kabisa,na Hawa kenge wanajua hakuna ufuatiliaji utakaofanyika,wanajisimea tu,y
 
OCS ndiyo kamuua huyo mzee, ushahidi wa mazingira(circumstantial evidences) unamuangukia yeye na familia wamepigwa 'biti' wasilete ujuaji la sivyo nao yatawakuta ya kuwakuta hivyo wauchukue tu mwili wa marehemu wakazike.

Hivyo ndiyo vyombo vya kulinda raia pamoja na mali zao.
 
Kwanini mahubusu hakuna kamera?
Hilo hufanywa makusudi lakini hata zikiwekwa kuweza kuona footages za police brutality ni mtihani mkubwa, labda uwe na connections kali 'juu' lakini pia ujue zinaweza kufutwa au ukaambiwa ziliharibika wameshawasiliana na technicians ila bado hawajafika.

Polisi ni vibaka zaidi ya vibaka wa mitaani.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hilo hufanywa makusudi lakini hata zikiwekwa kuweza kuona footages za police brutality ni mtihani mkubwa, labda uwe na connections kali 'juu' lakini pia ujue zinaweza...
Ziwepo tu wapate kazi ya kufuta. Kazi ya kufuta zinaweza kuwafanya wafikiri kiasi. Ni sawa na mwizi anapoingia sehemu yenye mbwa, hata kama ni koko atakupa kakazi ka kumtaftia nyama asipige kelele.
 
Polisi polisi polisi

Nimewaita mara 3

Hivi Kwa Nini mnatuona sisi mazuzu tusiokua na akili?
 
Back
Top Bottom