Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Tundu Lissu alipomiminiwa risasi 30 mlikataa mkasema siyo watu wasiojulikana bali chadema wenyewe ila km jamaa anaishi na mawaziri pale area D ilikuaje mpaka wakamfanyie vile .

May be you're not aware with that word " conspiracy theory"



Pardon!

Hili siyo kaburi la kufukua!

Embu mute!
 
Hahahah
Burundi wana FNL palipehutu na CNDD FDD, hapo kwny D wanatamka 'Dee'
Hahah CNDD FDD kila saa2 usiku habar ITV walikuwa wanazungumziwa wao 2 leo ndo napata data hizi umetisha sana.... Ila swala la kabila nilikuwa nasikia sikia maana kuna Laurent na joseph wote Story zao lazima utagusiwa habar za uwepo wao hapa tz...na mengineyo ngoja nijikumbushie kweny huu uzi
 

Joseph kasoma Sekondari Tanzania na hata Mafunzo ya JKT kayapatia hapa hapa Tanzania akisomeka Kama kijana wa Kitanzania lakin Leo ndio Rais wa Congo, hata Nkurunzinza Mama yake Mzazi Makazi yake ya Kudumu yapo Kigoma!

Joseph mpaka anakuwa Rais wa Congo alikuwa anakijua vyema sana Kiswahili cha Dar Es salam lakin Lugha ya kwao (Kilingala) alikuwa hakijui kwa kuwa Maisha yake yote alikuwa huku Tanzania, Kama Leo Hii anaongea Lingala itakuwa kajifunza akiwa Rais
 
Nadhani hapo M7 hakuwa targeted, ila huyo Dr. Ndiye aliyekusudiwa... ila huenda waliweka mpango wa kwanza kumhusu M7 huku Dr akiwa ni miongoni mwa wapangaji... Lakini kumbe anapangiwa yeye bila kujua... Na ndio maana kukatokea mchezo huo dakika za mwisho... NADHANI NI HIVYO
 

Mkuu mbona unakuja nusu nusu???
 
yaap it might be true
 
sio kwamba mimi ni kilaza, nimeshindwa kuelewa sabasaba na tarehe saba mwezi wa nne vinaingilianaje? mweshimiwa alikufa tarehe saba mwezi wa nne , ila kinachojadiliwa huku ni maonyesho ya sabasaba na target alikuwa ni M7 siku ya tarehe nne mwezi wa saba. mwenye atueleweshe
 
Mkuu sina shaka na uelewa wako,lakini napata shaka unapohusisha jina Aikael na kuleta uhuru wa kweli toka kwa mabepari!.....kuna dots hujaziunganisha vizuri
Aikaeli kwa kwetu umaanisha Ahsante Mungu , pamoja na kuonekana mpigaji ila jamaa kajitahidi sana kusimamia Chadema mengine ni chuki binafsi ila alipomkaribisha EL hapo ndipo tulipo hoji mengi. Mbowe yupo vizuri ata Tundu Lissu ni Mbowe huyo huyo ndie aliemshauri ajiunge Chadema baada ya ile kesi ya mazingira mgodi wa Nyamongo siyo huyo tu Mbowe kawaandaa vijana wengi. Tumpe heshima yake freedom is coming tomorrow.
Tunavyojua sisi ni Dawa za kuongeza nguvu za kiume. BP ikapanda sana. Tuwache uvumi wa kijinga. Yeye mwenyewe akijitayaeisha kwa 6 kwa 6
Yaani napata Mashaka sana na ubongo wako ahaa ahaaa maskini nchi yangu Tz kama hawa ndio vijana wa uchumi wa viwanda maghu kazi unayo.
 



Mmakua aliangushwa lini? Na kwanini!?
 
Fact's..... that's true.
Kuna Uzi wangu niliuandika kuhusu BAKWATA.
 
Haha million 7 utatulipia?
 
Sidhani kama tunashawiahiana hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…