Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Nje ya mada kidgo. Je mmasai kuutema uwaziri mkuu ikihusiana na scandal ya Richmond ile ni mipngo kutoka kwa mkwere au ilikuwa ni kweli jamaa kahusika kwenye ishu ya Richmond
Hilo issue wanaoijua vizuri ni walewale kizazi cha dhahabu a.k.a Golden boys na yule undercover agent wa CIA. Huyo mmasai jumba bovu lilimdondokea kwa kujifanya au kwa hasira za kujitia wana maamuzi magumu hilo suala lilikuwa la wote.
 
Basi sawa , itapendeza
Naomba kujua hili
 
Watanzania kinachotuangusha kwa kweli ni uthubutu tu. Maana tungekuwa na uthubutu wa kufanyia kazi ubunifu wa kutunga mambo, hata mapicha ya Hollywood yangetoka jasho.
Watu wanajua mengi mkuu basi wanaamua kutulia hizi zinazoandikwa si nadharia za uchumi wa viwanda au kuwapandisha watu madaraja. Zimetokea na maisha yanaendelea you may take it free or live it
 
Dah makubwa

Stori za vijiweni vinahusisha na Silaha kwa waasi Congo Kinshasa,
 
Sijakupata Ndg! Tiririka tupate maarifa kizazi cha 90![emoji188]
 
Kiazi wewe, hujaona wenzako waliojibu kistaarabu? Heshima yako iko wapi kwa lugha za matusi katika jukwaa? Ukikuwa mwili ukue na akili, sio kwasababu unajua kutumia simu uone ndio umekuwa.
kuku wewe tangu waanze kukujibu kiustaarabu ulielewa zaidi ya kuendelea kutuharibia uzi.?
Unaambiwa Mtu kafariki July/4....unasisitiza April/7....
Huna google kwenye simu yako.?
Acha upumbavu kwasababu hatuoni sura yako..
 
Ebwana eeeeeh unajua kama jamaa aliyekufukuzwa DSTV aka Mr Mwongo atapiga mzigo hapo Luanda na madam bilionaire lakini kulala halali kwa sababu anaogopa Boys 2 men hivyo hulala kwa akina Dali Mpofu?
Khaa!!!![emoji33][emoji33][emoji33]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…