Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Duuh hatari
1. Una maana sultan hayupo upande wetu?
2. Au wana nguvu kuliko sultan?
3. Au sultan hana taarifa?

Ngachoka mimi


The past 1 yr or so walio take charge pale Qasr Al Alam ni jamaa wa skinny

Mothertongue hawajui

basically, slim thug has us by the ball...

I blame it on Sayyid Ali bin Hamud Al-Busaid, na journo hilo aliliona zamaaani, mwishowe akaweka his Manchurian Candidate and the rest is history
 
Mkuu ujumbe umefika pamoja na uzi huu kuhamishwa ila MR P kachelewa audience imepata ujumbe uliokusudiwa .
namaananisha jamaa wa Frank Tramontano na sio huyo umdhaniaye
 
you mean A.T?
 
No lakini Mabere Marando ni mukhabarat na speciality yake ni kutesa

next?
Ahhaaa hapa ndipo umempoteza kabisa mkuu haya mambo sometimes ukiyafikiria sana yanakuumiza ubongo. Wakili mwanakitengo alipowadhihirishia Ukawa kuwa kura azitaibiwa ajawahi kujitokeza kwenye press tena three years now.
 
Kuna wana historia wazuri kama Huyu Mohamed Said na Ahmed Rajabu, nadhani michango yao ingehitajika hapa sana, hata kwa ID fake.

ahmed Rajab hawezi kuja baada ya Majibu aliyopewa na Alli Akbar Valeyati pale Shahrbani Palace alipotumwa Al Riyami ( ripoti ipo kwa jamaa wa Magot) maybe itakuja kuwa de classified after 100 yrs sote tukisha check out.

Mara milioni angeenda kwa blad wake hapo Nizwa badala ya kwenda kwa hao ma ahlul bayt ambako the Rain maker yuko connected by kinship alishawaelekeza Qibla toka enzi za Nabii Nuhu!!!

somo: Dont hate the playa, hate the game!
 
Makaburini watu wanasonya tuuuu...
 
Ahhaaa hapa ndipo umempoteza kabisa mkuu haya mambo sometimes ukiyafikiria sana yanakuumiza ubongo. Wakili mwanakitengo alipowadhihirishia Ukawa kuwa kura azitaibiwa ajawahi kujitokeza kwenye press tena three years now.
ana stroke
 
Doooh! Celestine yule Director of International Cooperation Department in the MOFA
ambaye naye alipewa burn notice Langley in the same manner kama yule aliyehamia kwa akina Dally Mpofu japo reasons zinatofautiana
 
Acha mambo yako wewe, hujui kuwa dr, slaa na lipumba ndio waliosalitiwa na mbowe kwa kumleta LOWASSA hali ya kuwa mbowe ajua ufisadi wa LOWASSA?

Yaani unataka.kutuaminisha kuwa mbowe alifanya maamuzi sahihi ya kumsajili lowasa kugombea urais na akina slaa na lipumba walikosea kujiondoa?

Akili zingine bhana hatari sana, nenda instagram huko ndo kuna watu wenye fikra kama hizi, hapa Jf pana watu watanashati wa akili, usiwachafue.
 
Mkono wa kagame umeingia vp hapo ikiwa umesema inasemekana ameuliwa sababu ya kumpa siri Mrema ebu nyoosha maelezo yako vizuri mkuu
 
kumwita mtu fisadi bila ushahidi ni zaidi ya kuwa 'puto'
 
January shule zinafunguliwa.... Code zipo hapo mitaani ndio ushangae humu..... Utakuwa toleo la Division 5 maana hata matoleo ya physics with chemistry hayapo ulivyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…