Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

waziri mkuu nae risasi
 
salute to you bro! umenikumbusha novel ya Manchurian Candidate. siku hizi naona kuna movie yake pia
 
Inamaana bila yeye 2015 ingekuwaje?
 
Hili swali liliwahi kuulizwa, akina pohamba na hinc wakagoma kujibu. ( eagle wing)
 
Na wameamua kufanya usajili wa kudumu,but is he worthy?
 
Tena Security clearance ya level 5.watu wanakoment na fake IDs lakini bado wanaogopa.
 

1. Jamaa wa skinny ? - Hii ni grave mistake ya Boys2Men wangetanguliza maslahi ya nchi haya yasingetoa.

2. Mothertounge hawajui - Shukrani kwa IDed them.

3. Slim thug has us by the ball - Hii ni grave mistake ya Boys2Men wangetanguliza maslahi ya nchi haya yasingetoa.

4. Sayyid Ali Bin Hamud Al-Busaid - Huyu mzee aliweka nguvu nyingi kupambana na Boys2Men mwenzake akasahau upande wa pili. Boys2Men mwenzake anamcheka sasa uko aliko

5. Journo - Huenda uzee umemvuruga

Ili tutoke hapa tulipo tunahitaji another stronger Boys2Men team
 
Chanzo ni hiki mkuu[emoji116]
 
Tena Security clearance ya level 5.watu wanakoment na fake IDs lakini bado wanaogopa.
Kuna watu wanajisahau na kutoa mawasiliano yao Humu ndio maana unaona Code language wengine wanafahamika Kabisa, its bad Mtu unapaswa kutojulikana hata kwa kufungua ID mpya ambayo usiruhusu kutoa mawasiliano wala mtu yoyote kujua Identity yako.

Lakini hili pia hali assure security yako, Hujawah kujiuliza Melo alivyo potential anaweza kuwa Nje na DSTV?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…