Facts.
1. Mtoto wa familia ya Mkapa aliniambia, muangalieni Dr. Omari Ali Juma, atakuja kuwa rais. Hilo ndilo lilikuwa chaguo la Mkapa. Habari hii ni kutoka dinner table conversation Sea View kwa Mkapa.
Dr. Ali Omari Juma "Chinjachinja" angepata kuwa rais, ingekuwa sawa na utawala wa Mkapa uende kuisha halafu aje kupokelewana Magufuli.
2. Kuna watu waliona wamenyang'anywa urais,na hivyoMkapa akimaliza, ni lazima wapate walichonyang'anywa.
3. Wakaona kuwa baada ya Mkapa, upepo unaelekea kwa Dr. Omari Ali Jumana wakizubaa, watanyang'anywa kwa mara ya pili nafasi ya urais.
4. Dr.Omari Ali Juma aliondolewa makusudi kwa kuchanganyiwa vidonge vya kuongeza nguvu na kinywaji kilicho react vibaya navyo. Vidonge hivi vinahusika katika shughuli pevu. Vilitumika kitaalamu sana kiasi kamakungefanyikauchunguzi wowote, kitu ambacho kingeonekana kumuondoa kingekuwa mashtuko wa moyo
5. Zaidi ya hapo, story kuhusu nani alihusika inahitaji security clearance.