Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

huyu mzee yuko wapi?
alivuma sana rtd

Ndio Ujue Hakuna aijuae Kesho!

Huyu Hayati Juma Jamaldeen Akukweti ndie alipangwa kuwa Ndugai wa awamu ya Nne na Boys2men

Alikuwa ndie Dkt Tulia wa Mzee Msekwa baada ya Philip marmo

Unfortunately Yule Muiran akasema Vasco Muislam , Msaidiz wake Muislam so u Ndugai tukimpa Akukweti italeta Kelele za Udini so let us change tumpe Comrade mwenzetu wa Urambo!

Cabinet ya kwanza iliundwa kwa kikao cha Watu wanne sio wawili ambao ni prezoo na pm wake Kama Sheria inavyotaka!

Akukweti akapewa Uwaziri Ofisi ya Rais - Bunge badala ya undugai kwa Fitna ya Muiran ambae ilikuja kumtokea Puani-( karma)

Ki ukweli Ilikuwa Rehma kubwa sana kwa Nchi yetu lile Kundi kusambaratika
Imagine Chama cha Makunduchi, DSTV vilikuwa Kama Tawi tu ndani ya ule Mtandao

Yule Mzee wa kukata Pumzi Mpagani asie na dini alitahadharisha sana kuwa Huyu Kijana Speed and standard anajulikana tangu enzi za Mchonga ni mvurugaji wakambishia!

Matokeo yake alietia ubani kuwazika Kisiasa boys2men ni Yeye kwa kuandaa fafa la richmonduli ma Matokeo yake ikawa ndio Mwanzo wa Mwisho wa Muiran Huyo aliekuwa na Nguvu kuliko Amiri Jeshi kwa kuamua Nani awe Nani, hata Greyson wa wakati huo Yeye ndie alimuandikia Kimemo ikaundwa kurugenzi Maalum kwa Mara ya kwanza kwa ajili yake!
 


Mkuu this ESPIONAGE 101

the scariest post of the thread
 
The QN is ataweza?maana nna Imani wenzie walishajipanga since wanampa Vasco da gama nchi
Chato boy asije akashangaa anakatwa yeye wale boys2 men watoto wa mjini haswaa
Chattlenian atapata kazi sana, manake lazima ktk regime yake itoe kijiti kwa regime ambayo haitofukua upuuzi wa regime yake..

Na kuna hearsy za maandalizi yanayofanya kwa yule kijana aliezuru Congo juzi. Watu wanacheza karata 2 mkuu. B2M ipo lakini, the 2 giant are likely to have pocket plans.

Wako kimya as nothing is going on, lakini haya yote ni kudraw attention siku ikifika. Mfano mzuri ni leigwanan kipind kile cha scandal ya richard monduli alikaa kimya kujijenga....we all know how popular he became on his return. Ukimya imekuwa ni tabia na silaha yao kubwa.
 
Bro, You are now being seditious. Is there any proof to the allegation? For heaven's sake do not bite what you cannot chew
“There are only two ways to live your life. One is as though nothing is a miracle. The other is as though everything is a miracle.

Albert Einstein.

Get your own life dude .
 
Yes, 'Greyson' was his puppet from his Publishing Company.
 
Unachafua thread!.

Kama umeona kaandika utahira na wewe usingejazia ujinga wako.
Mkuu punguza hasira hapa kila kitu kitaenda sawa ambao wameachwa ni wengi ila kwa kuwa upo just remain calm.
 
Lakini JJA alifariki na natural death baada ya ajali ya ndege sokomatola if I'm not mistaken..anyway..he was a great guy!
 
Ila mzee wa OAU hana hamu na boyz2men. Baada ya ile 2005 alipoteza apetite kabisa na siasa za Bongo.

Maana walimchafua akachafuka haswa.
Kilichomuuma zaidi ni kuwa amekaa Nuyok muda ila walipofka kwa wagogo wakamuambia we si mdanganyika wala huna ndui dah hili hawezi kulisahau kamwe unakumbuka kuwa ni miongoni mwa wanajopo kwenye zile tuzo za mudi za kupata best former president ?

Aliingia vasco kichwa kichwa na uzi ukaletwa hapa eti mara oh atachukua sisi tulikaa kimya kwani tulishajua kuwa nani ni judge pale ndo hivo vasco alikosa.
 
Lakini JJA alifariki na natural death baada ya ajali ya ndege sokomatola if I'm not mistaken..anyway..he was a great guy!

Ile ajali ilitokea Mbeya alipokwenda kwny janga la Moto pale Soko kuu!
Kosa lile lililosababisha ajali ni la kizembe sana na report yake ipo mpka Civil Aviation Authority!

Mizigo ya Zawadi toka kwa Viongozi wa Chama na Serikal Mkoa waMbeya iliruhusiwa kusafirishwa kwny ndege hiyo hiyo bila ya kupimwa Matokeo yake Mzigo ulikuwa Mkubwa kuliko uzito wa ndege husika!
R.I .P Mbunge wa Zamani wa Tunduru!
 
Usitusubirishe sana mkuu
Wengine hizi ndo mapenz kwetu
Nyingi nikianzisha jamaa Mr P na kaya yake uzivua kwa kokoro alafu hizi zinazohusu za watu wa njia panda ni ngumu sana angalia Passion alivopiga mkwanja ya maana via ashok lyland akala kona ebu itafute hiyo uzi kama utapata never.

Duh ukifikiria sana ndo zile frastesheni za chapamba.
 
mkuu, heshima kwako sana! kuna sehemu umechanganya kidogo. Baada ya vasco da gama kushinda urais, B2M na washirika wake walikaa chini kupanga safu ya mukharabat. resolution ya kwanza ilikuwa kijana wa speed na viwango awe ndo PM, harafu philips mamito awe ndo Ndugai. then sikumbuki mamvi alitakiwa awe nani..but lengo ilikuwa kuhakikisha kuna kila mtu wao kila sehemu. kwenye hicho kikao, alikuwepo the masterminder himself MPAGANI. vasco da gama akasema kwa hasira kuwa hawezi kukubali wamchagulie kila mtu kwenye safu ile...ndo akasema atamchagua PM anayemtaka. ndo akamchagua Mamvi. sasa ili kumpoza kijana wa speed na viwango, wakampa undugai. philips mamito akawa amekosa mazima. mamito aliweka bifu mpaka leo amepotezwa. Back to speed na viwango vs mamvi: jamaa wa viwango, alikubali kuwa ndugai but alikuwa na hasira kwa nini wamempoka u-PM? so he waited for light time to revenge. do you remember mzee wa viwango anamwambia kuwa asiwachekee hawa mawaziri plus viongozi wengineo? he was passing a message..then ndo ikaja issue ya RICHMOND...mzee wa viwango aliambiwa asikubali kuunda tume dhidi ya PM...lakini yeye akaiunda...the rest is a history. ndo maana wakati mamvi anajiuzulu alisema..."tatizo ni hiki kiti" ilikuwa ni DM kwa mzee wa urambo.
baada ya hapo chama cha majangiri kilisua sua na vasco da gama ali-shake but aliweza ku-survive. wakati nimekuja Bongoland nilikutana na vasco kwenye msiba fulani...haikuhitaji uwe na Elimu kujua jamaa alikuwa anapitia magumu. Baadae kuna mzee mmoja mfanyakazi wa DSTV na family friend wa vasco (simkumbuki jina) akamshauri aje na kauli mbiu ya kuvua gamba kama staili ya kujisafisha kwa wale waliochafuka na kurudisha Imani kwa wananchi kwani dokta mihogo aliwashika pabaya kwenye issue za ufisadi, nakumbuka wengi walitolewa kafara. huyo mzee wa DSTV alipewa nafasi ya kufundisha Open University of Tanzania...ingawa sijui kama alikuwa na sifa za kufundisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…