huyu mzee yuko wapi?
alivuma sana rtd
Ndio Ujue Hakuna aijuae Kesho!
Huyu Hayati Juma Jamaldeen Akukweti ndie alipangwa kuwa Ndugai wa awamu ya Nne na Boys2men
Alikuwa ndie Dkt Tulia wa Mzee Msekwa baada ya Philip marmo
Unfortunately Yule Muiran akasema Vasco Muislam , Msaidiz wake Muislam so u Ndugai tukimpa Akukweti italeta Kelele za Udini so let us change tumpe Comrade mwenzetu wa Urambo!
Cabinet ya kwanza iliundwa kwa kikao cha Watu wanne sio wawili ambao ni prezoo na pm wake Kama Sheria inavyotaka!
Akukweti akapewa Uwaziri Ofisi ya Rais - Bunge badala ya undugai kwa Fitna ya Muiran ambae ilikuja kumtokea Puani-( karma)
Ki ukweli Ilikuwa Rehma kubwa sana kwa Nchi yetu lile Kundi kusambaratika
Imagine Chama cha Makunduchi, DSTV vilikuwa Kama Tawi tu ndani ya ule Mtandao
Yule Mzee wa kukata Pumzi Mpagani asie na dini alitahadharisha sana kuwa Huyu Kijana Speed and standard anajulikana tangu enzi za Mchonga ni mvurugaji wakambishia!
Matokeo yake alietia ubani kuwazika Kisiasa boys2men ni Yeye kwa kuandaa fafa la richmonduli ma Matokeo yake ikawa ndio Mwanzo wa Mwisho wa Muiran Huyo aliekuwa na Nguvu kuliko Amiri Jeshi kwa kuamua Nani awe Nani, hata Greyson wa wakati huo Yeye ndie alimuandikia Kimemo ikaundwa kurugenzi Maalum kwa Mara ya kwanza kwa ajili yake!