Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Yaan naamini ukimya wao unamuumiza sana chatomanian aiseee
Anafunga na kuomba kwa mizimu yote ya kanda ya ziwa jamaa a one Mwanga bila wapi
Ila 2020 sio mbali naamini tutaina mengi
Tusishangae hata muiran akarudi kwenye midomo yetu
Kuna umafia ameshacheza hapo double 20. Nadhani umeona mpango wa Greens uliofanyika juzi kule makao makuu. Ni mwendo wa Yes/No.

Sasa just to inform you, hakutakuwa kuwa na ruhusa ya mtu kuchukua karatasi za kijani na njano. Manake itakuwa ni yeye tuu..otheriwise labda wam-daktari wa mifugo, kitu ambacho ni kigumu sana.

The only time pipo can play tricks is the end of his sec. Semister..
 
Mzee bado mapema sana kwa yule mtembezi wa DRC kuandaliwa ramani ya kuingia magogoni , kumbuka huyu mzee chattlem haeleweki na anapenda uniqueness kwa kila kitu, alafu kumbuka ndugu V.Dagama aliwahi kumuandalia mazingira aliyekuwa ameshika tochi yetu nje ya nchi ila mambo yaligeuka masaa ya mwisho, pia kabla ya hapo upatu wa kuingia kwenye nyumba ya nyeupe ulikuwa unavuma kwa mywa supu na miziz, lakini upepo ulimbadilikia ghafla pia , mzee Pogba aliangukiwa dodo akiwa chini ya mnazi, hivyo hata huyu mtembea kwa Kabila anaweza asitoboe but tusubiri muda ndo utaamua. Naipenda JF
 
Pia kupitia uzi huu, mimi nimeamini mzee chattleman bado mchanga sana kwenye uga huu wa Kidplomasi na intelijensia, kama atataka kufululiza hadi 2025 itabidi ajipange sawasawa na kumbe ndo maana baadhi ya mambo anatumia nguvu nyingi sana pengine aweze kustabilize mambo. Nimemuonea huruma japo atakomaa pia kulingana na muda maana hakuna aliyezaliwa anajua.
 
Sasa kama alivujisha siri Kwa mrema,kagame anaingiaje hapo?sioni connection
 
Kwa hiyo lisu ataongoza kupitia Nairobi?how intact their system is?
 
Kwa hiyo sabasaba ni mwezi wa 4?
 
Hii nchi INA conspiracy za kutosha sana aiseee dah
 
Kigumu kwa nani ww au wao?
Tuaongelea boyz2men mkuu don't forget that
 
Naelewa mkuu kuwa upatu unageuga..! Mwisho wa siku simba mwenye kucha ndio anakuwa mtawala kwenye kitoweo.

Kila mmoja lazima ataanda wa kwake, B2M lazima ije kivingine this time..na kuna dalili kubwa Vasco da gama akarudisha jina la binamu wa mkewe mdogo..
 
Dah si kwamba kwa kuwa Pogba anapenda kuwa na shoot za kipekee anaweza akatia ulezi kwenye masikio juu ya matakwa ya mzee wa Voyage na B2w kama alivyo mfanyia mzee anayezaa mtoto anayetunza mazingira ya nchi kwa sasa baada kwa kumwambia "...sitaki ushauri wako.."!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…