Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Yaan naamini ukimya wao unamuumiza sana chatomanian aiseee
Anafunga na kuomba kwa mizimu yote ya kanda ya ziwa jamaa a one Mwanga bila wapi
Ila 2020 sio mbali naamini tutaina mengi
Tusishangae hata muiran akarudi kwenye midomo yetu
Kuna umafia ameshacheza hapo double 20. Nadhani umeona mpango wa Greens uliofanyika juzi kule makao makuu. Ni mwendo wa Yes/No.

Sasa just to inform you, hakutakuwa kuwa na ruhusa ya mtu kuchukua karatasi za kijani na njano. Manake itakuwa ni yeye tuu..otheriwise labda wam-daktari wa mifugo, kitu ambacho ni kigumu sana.

The only time pipo can play tricks is the end of his sec. Semister..
 
Chattlenian atapata kazi sana, manake lazima ktk regime yake itoe kijiti kwa regime ambayo haitofukua upuuzi wa regime yake..

Na kuna hearsy za maandalizi yanayofanya kwa yule kijana aliezuru Congo juzi. Watu wanacheza karata 2 mkuu. B2M ipo lakini, the 2 giant are likely to have pocket plans.

Wako kimya as nothing is going on, lakini haya yote ni kudraw attention siku ikifika. Mfano mzuri ni leigwanan kipind kile cha scandal ya richard monduli alikaa kimya kujijenga....we all know how popular he became on his return. Ukimya imekuwa ni tabia na silaha yao kubwa.
Mzee bado mapema sana kwa yule mtembezi wa DRC kuandaliwa ramani ya kuingia magogoni , kumbuka huyu mzee chattlem haeleweki na anapenda uniqueness kwa kila kitu, alafu kumbuka ndugu V.Dagama aliwahi kumuandalia mazingira aliyekuwa ameshika tochi yetu nje ya nchi ila mambo yaligeuka masaa ya mwisho, pia kabla ya hapo upatu wa kuingia kwenye nyumba ya nyeupe ulikuwa unavuma kwa mywa supu na miziz, lakini upepo ulimbadilikia ghafla pia , mzee Pogba aliangukiwa dodo akiwa chini ya mnazi, hivyo hata huyu mtembea kwa Kabila anaweza asitoboe but tusubiri muda ndo utaamua. Naipenda JF
 
Pia kupitia uzi huu, mimi nimeamini mzee chattleman bado mchanga sana kwenye uga huu wa Kidplomasi na intelijensia, kama atataka kufululiza hadi 2025 itabidi ajipange sawasawa na kumbe ndo maana baadhi ya mambo anatumia nguvu nyingi sana pengine aweze kustabilize mambo. Nimemuonea huruma japo atakomaa pia kulingana na muda maana hakuna aliyezaliwa anajua.
 
Inasemekana Imran Kombe alimalizwa kwa mkono wa serikali iliyokuwepo madarakani kwa sabab alikuwa anavujisha siri kwa mpinzani wa wakati ule Mrema. Kuna utata mkubwa wa mauaji yake unabainika kwa maswali yafuatayo:
1. Kama askari walidhani ni mhalifu kwann walimpiga risasi kifuani ilhali hakuwa na silaha na alijisalimisha kwa kunyoosha mikono
2. Walipohukumiwa kunyongwa rais mkapa akabadilisha ikawa kifungo cha maisha na mwaka 2011 wakapata msamaha wakaachiwa. Baada ya gazeti la mwananchi kuandika juu ya msamaha wa Rais kikwete, Rais alikanusha na kusema yeye wakati anaingia alikuta huo msamaha ukiwepo..

Inasemekana kulkuwa na mkono wa Kagame kwny haya mauaji
Sasa kama alivujisha siri Kwa mrema,kagame anaingiaje hapo?sioni connection
 
Laurent Kabila aliendesha Mapambano ya kumtoa Mobutu akitokea Mikocheni

Rajab Hussein na Pierre Nkurunzinza walikuwa wakiendesha Mapambano ya kuwatoa kina Pierre Buyoya kutokea Buguruni kwa Mzee wa Kibwali Mzee Mnenge

Yoweri Kaguta Museven kaongoza Vurugu Uganda akiwa Dar
Edward Mondlane kaongoza Vurugu za Msumbiji akitokea Dar

Paul Kagame kaongoza Vurugu Rwanda akitokea Uganda

Hata Prof Wamba alikuwa akiongoza Vita akiwa Dar!
Kwa hiyo lisu ataongoza kupitia Nairobi?how intact their system is?
 
Hakuna haja ya povu mkuu


Wewe ndiye kilaza

Maana katika kuandika tarehe ipo aina tatu;

Kuna 1. mwaka/mwez/siku

2. siku/mwezi/mwaka

3. mwezi/siku/mwaka


Kwa hiyo 4/7, nilitafsiri kama mwezi/siku/mwaka. Yaani mwezi wa nne/tarehe 7


Una lingine!???
Kwa hiyo sabasaba ni mwezi wa 4?
 
Niliposikia kuwa mpanga mkakati na ndo jamaa nikasema kuwa tayari upinzani ujipange tena. Ex mkarabaht amedumu kwenye hicho kiti kwa miaka 9 na boss wake ndo huyo alikuwa ni Lord Lofa hapo jangwani .

Yaani ex mkarabaht ili mambo yaende vizuri lazima awasiliane kwa ukaribu na in charge mkarbat ambae kama unakumbuka mpaka anatake control alikuwa kwa bibi kabla kurudishwa huko km DG wa HR cheo ambacho ni kinafuatia boss wa mkarabat . Sasa kushawishiwa kuwa kunge kuwa na ushindi ndo ikawa ngumu kwenye ubongo wangu.
Hii nchi INA conspiracy za kutosha sana aiseee dah
 
Kuna umafia ameshacheza hapo double 20. Nadhani umeona mpango wa Greens uliofanyika juzi kule makao makuu. Ni mwendo wa Yes/No.

Sasa just to inform you, hakutakuwa kuwa na ruhusa ya mtu kuchukua karatasi za kijani na njano. Manake itakuwa ni yeye tuu..otheriwise labda wam-daktari wa mifugo, kitu ambacho ni kigumu sana.

The only time pipo can play tricks is the end of his sec. Semister..
Kigumu kwa nani ww au wao?
Tuaongelea boyz2men mkuu don't forget that
 
Mzee bado mapema sana kwa yule mtembezi wa DRC kuandaliwa ramani ya kuingia magogoni , kumbuka huyu mzee chattlem haeleweki na anapenda uniqueness kwa kila kitu, alafu kumbuka ndugu V.Dagama aliwahi kumuandalia mazingira aliyekuwa ameshika tochi yetu nje ya nchi ila mambo yaligeuka masaa ya mwisho, pia kabla ya hapo upatu wa kuingia kwenye nyumba ya nyeupe ulikuwa unavuma kwa mywa supu na miziz, lakini upepo ulimbadilikia ghafla pia , mzee Pogba aliangukiwa dodo akiwa chini ya mnazi, hivyo hata huyu mtembea kwa Kabila anaweza asitoboe but tusubiri muda ndo utaamua. Naipenda JF
Naelewa mkuu kuwa upatu unageuga..! Mwisho wa siku simba mwenye kucha ndio anakuwa mtawala kwenye kitoweo.

Kila mmoja lazima ataanda wa kwake, B2M lazima ije kivingine this time..na kuna dalili kubwa Vasco da gama akarudisha jina la binamu wa mkewe mdogo..
 
Naelewa mkuu kuwa upatu unageuga..! Mwisho wa siku simba mwenye kucha ndio anakuwa mtawala kwenye kitoweo.

Kila mmoja lazima ataanda wa kwake, B2M lazima ije kivingine this time..na kuna dalili kubwa Vasco da gama akarudisha jina la binamu wa mkewe mdogo..
Dah si kwamba kwa kuwa Pogba anapenda kuwa na shoot za kipekee anaweza akatia ulezi kwenye masikio juu ya matakwa ya mzee wa Voyage na B2w kama alivyo mfanyia mzee anayezaa mtoto anayetunza mazingira ya nchi kwa sasa baada kwa kumwambia "...sitaki ushauri wako.."!
 
Back
Top Bottom