Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Same people wakamtungua meko. Meko akaingia kichw a kichwa
 
Mkuu ilikuwa tar 07/4/? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
July 4 ndio tarehe ilipoasisiwa genge la mashetani liitwalo Illuminati.Na ni siku ya uhuru wa Marekani pia.Ajabu ni kwamba matukio yote hayo ni mwaka 1776
 
July 4 ndio tarehe ilipoasisiwa genge la mashetani liitwalo Illuminati.Na ni siku ya uhuru wa Marekani pia.Ajabu ni kwamba matukio yote hayo ni mwaka 1776
Fact.Niongezee hapo.Muasisi hapo ni Mjerumani Adam Weishaupt
 
Sabasaba hapa Tz ni mwezi gani kwani?
 
Hii nchi siyo ya mchezo mchezo ni kama kuna watu maalum wa kazi zao.

Na ukiondoka ni kimya kimya kama hakuna kilichotokea
 
Ongeza na 2021 tukapoteza Rais akiwa madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…