Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana!

Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa mifugo kutoka huko Pemba.

Ni nani aliediverge hii issue na hatimae kuondoka na Dkt Omary deceased?

Tanzania kuna mengi ila it is claimed that Museveni was planted to rest in hell before things change during that time 13:00, 4/7/2001.

Ngoja nimalizie kunywa spirit iniondolee baridi maana nashindwa kuandika.
Same people wakamtungua meko. Meko akaingia kichw a kichwa
 
Mkuu ilikuwa tar 07/4/? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
July 4 ndio tarehe ilipoasisiwa genge la mashetani liitwalo Illuminati.Na ni siku ya uhuru wa Marekani pia.Ajabu ni kwamba matukio yote hayo ni mwaka 1776
 
July 4 ndio tarehe ilipoasisiwa genge la mashetani liitwalo Illuminati.Na ni siku ya uhuru wa Marekani pia.Ajabu ni kwamba matukio yote hayo ni mwaka 1776
Fact.Niongezee hapo.Muasisi hapo ni Mjerumani Adam Weishaupt
 
Hakuna haja ya povu mkuu


Wewe ndiye kilaza

Maana katika kuandika tarehe ipo aina tatu;

Kuna 1. mwaka/mwez/siku

2. siku/mwezi/mwaka

3. mwezi/siku/mwaka


Kwa hiyo 4/7, nilitafsiri kama mwezi/siku/mwaka. Yaani mwezi wa nne/tarehe 7


Una lingine!???
Sabasaba hapa Tz ni mwezi gani kwani?
 
Hii nchi siyo ya mchezo mchezo ni kama kuna watu maalum wa kazi zao.

Na ukiondoka ni kimya kimya kama hakuna kilichotokea
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Ongeza na 2021 tukapoteza Rais akiwa madarakani
 
Back
Top Bottom