Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

sijaona la maana ktk maelezo ya kifo cha huyo jamaa, zaidi ya bla blaa. Maelezo yao yana walakini
Mseveni alipaswa kumalizwa akiwa Dar tarh 04/07/2001 Aliwekewa sumu kwenye kipaza sauti kabla ajaitumia ndipo secret agents wa Uganda walipochezwa machale na kubadilisha hiyo mic haraka.

Baada ya hotuba ya M7 aliefatia alikuwa vice wetu by then Dr Omary deceased akarudishiwa mic ya awali ndio hivo akala sumu ya slim thug .

Though ilitokea hivo bt ilikua lazima jamaa aondoke kwa njia yeyote kupisha mission ya boys2 men

Kama ujaelewa basi endelea kunywa mbege unibakizie huku hamna mbege pombe siyo pombe alcohol ni above 80% sisi tunaita spirit maalum kupambana Na winter.
 
Vasco da Gama Ni mtoto wa mjini anajua sana kucheza karata zake , Aziza huko alipo anaendelea na kazi zake kumbuka undercover agent of CIA usiulize maswali Mengi elewa hivo hivo , Olegwain huko Kinondoni mission yake Kama vile haipo kumbe yupo ila he is killing opposition parties via cdm slowly.
Hilo la chadema, wakija kustuka watakua wameishachelewa.
 
Wakuu mwenye deep info za kifo cha Chacha Wang we naomba ashushe nondoz.

To me This is one of the mysterial death up to this moment , Wangwe's ,Mtikila's and Sokoine's deaths scenarios makes me believe that there had been conspiracies to get rid of these people in a systematic way under the curtain of Car accidents
 
Asanteni kwa historian mjarabu kabisa namkumbuka Dr.Omary Ally Juma
Alitungiwa nyimbo nyingi na ngojera sijui shahiri ila kuna mda najiuliza sipati jibu mfano nyimbo za Komba alizomtungia Nyerere R.I.P yaani baada ya tu ya Ben Kutangaza habari za kifo hicho zikaanza kupigwa RTD currently TBC yaani utafikiri walijua kuwa nini kitafuata .
 
We jamaa hauna Marinda Nini.???
Mbona unahangaika tangu mwanzo kutuharibia uzi..
Kama jamaa anadanganya acha atudanganye sisi tumehiyari..
Mpumbavu wewe..
Kiazi wewe, hujaona wenzako waliojibu kistaarabu? Heshima yako iko wapi kwa lugha za matusi katika jukwaa? Ukikuwa mwili ukue na akili, sio kwasababu unajua kutumia simu uone ndio umekuwa.
 
Muambie pia atambue kuwa Kagame ana kikosi chake kilichosambaa maziwa makuu mpaka South Afrika inajulikana kama " ESCADRON DE LA MORT" hicho kikosi kimeondoka Na wengi lakini la kukumbukwa na wengi ni Mtikila na Mwakyusa Juan Profesa R.I.P.
Hili la kikosi cha bwana pk kusambaa hadi South Africa sasa ndio nazidi kufunguka macho manaake ulivyotamka tu kwamba jamaa kasambaza vijana wake hadi South Africa umenikumbusha mwaka 2012 mwishoni kama sijakosea jamaa walivyo muua na kummaliza ex spy chief wao alikuwa anaitwa Paul Rugeye au Karugeye if i've not mistaken.

Jamaa alijidai kuvujisha baadhi ya siri za Pk akakimbilia states, baadae akajisogeza bondeni hapo kwa Jacob Zuma wala hakuchukua round. Yuko bafuni anaoga kwenye hoteli aliyofikia vijana wakafanya yao wakamfunika taulo lake haoo wakondoka breki Kigali.
 
Alitungiwa nyimbo nyingi na ngojera sijui shahiri ila kuna mda najiuliza sipati jibu mfano nyimbo za Komba alizomtungia Nyerere R.I.P yaani baada ya tu ya Ben Kutangaza habari za kifo hicho zikaanza kupigwa RTD currently TBC yaani utafikiri walijua kuwa nini kitafuata .
Nakumbuka babu yangu alinambia before Mmkakua ajatangaza kifo cha mwalimu watu wa mkoa wa Mara walikuwa wameshajua kupitia matukio yaliyojitokeza moja ni mtikisiko wa mji wote wa musoma ndege kupiga kelele usiku kucha mti mkubwa mhunda kudondoka na nyani mkuwa kukutwa amekufa mwitongo ila all in all ukweli utaishi
 
Kwa Huu uzi ndo nimeamin kweli great thinker wa Jf ya zaman bado wapo no wonder weng watoa point ni ma senior member kwa mbali ma expert member, yan kama akili yako ni zile za prease wait au network error utatoka kapa humu.

Hupewi full info unapewa doti kazi yako kupiga mstari. Yan ni sawa unatolewa dar unapelekwa kigoma unarudishwa tena dar kabla hujatulia unatolewa dar unapelekwa kigoma ila watakaofika kigoma ni wale wenye pumzi tu wengne wataachwa pale Dom watarud dar kwa kwato.

LIVE LONG JF
 
Wakuu mwenye deep info za kifo cha Chacha Wang we naomba ashushe nondo .To me This is one of the mysterial death up to this moment , Wangwe's ,Mtikila's and Sokoine's deaths scenarios makes me believe that there had been conspiracies to get rid of these people in a systematic way under the curtain of Car accidents
Hili achana nalo kwanza pamoja na kuwa dereva wake aliapa kutokutoa ya moyoni ila ukweli anajua kijana yule Somebody Mallya mpare huyo ambae baadae alivujisha siri jinsi Yule mbunge wa Kigoma aliejinasibu kuwa ameaga alivotakiwa kuuawa am not sure with that notion lakn km unafatilia Yule Mkurugenzi wa ulinzi wa chama chetu pendwa aliozea segerea kabla ya kuachiwa huru .

We must not waste our time asking for this as far as Ata yule kaka ake aliekuwa DG WA REPOA alisema let us buried our dead body Na maisha yaendelee kuna watu watakuambia aliuawa na Aikael eti kisa uenyekiti huu ndio uongo mkubwa.

Hivi unakumbuka kipindi kile Juan alivyouawa na elcadron jamaa waka speculate eti ni vijana wa OR kisa alimuona Balali New jersey watu Ni waongo hatari.
 
Back
Top Bottom